johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,866
- Thread starter
- #21
Na yale mafuso ya Ufipa?Lile la tot sasa hv ni bus. Tumechongea body pale gareji ya Manji mliyokwapua
Na yale mafuso ya Ufipa?Lile la tot sasa hv ni bus. Tumechongea body pale gareji ya Manji mliyokwapua
Ngoja nitest mitambo na Sauli yenyewe bwashee!Panda Kilimanjaro huyo ndo mpinzani wa Sauli
Mwamba Yutong, Zhong Tong sijui nini ni takataka kabisa kwa Scania aka Msweeden. Wale jamaa nasikia huwa wanapigwa figisu na kusimamishwa na askari lakini bado huwa wanawakata jamaa njiani.Scania siyo mchezo bwashee!
TumeuzaNa yale mafuso ya Ufipa?
Ngoja nitest mitambo na Sauli yenyewe bwashee!
Ahsante mkuu!Sauli anaishia Mbeya mjini
Yaaap. Wana magari mazuri kabisa kabisa.
Majinjah ya Sumbawanga gari lipi ni zuri mkuu?Yaaap. Wana magari mazuri kabisa kabisa.
Hako ka mluzi ata mi hua nakapenda balaa!Mkuu Mbeya kuna gari nzuri sana SCANIA GEMILANG za kampuni ya SAULI pia kuna BENZ za kampuni hiyo.
Zipo kila siku kazi kwako mkuu
Kwenye ligi nadhani ndo zinaongoza kufika Mbeya na Dar, Kwa ninavyosikia hao wachina njia hiyo wamesalimu amri sababu hizo Scania F360 huwa zinapanda kitonga kama zinashuka vile na kuna ule mluzi au whisle wa Scania unasikia na mafua yake kabisa.
Hawa jamaa hawana gari lenye comfortability zaidi ya mbio zisizo na maana.
Majinjah ya Sumbawanga gari lipi ni zuri mkuu?
Majinja gari za kazi hizo hasa ile CSN Volvo na Scania BUL