Recent content by Ghostlike

  1. G

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Vip kuhusu kukopa hela bank kwa dhamana ya hela zako zilizopo UTT hii kitu inawezekana???
  2. G

    Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

    Hizi za spring hakunaga 12 inches mkuu???
  3. G

    Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

    Godoro kama hili spring inches 12 5x6 ni bei gani mkuu????
  4. G

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Hii ni moja ya biashara nitakayopenda kuja kufanya huko mbeleni but naona kabla hujaanza ukatafute namna flani ya kuongea na wamiliki wa mabus yanayoenda mengi ukanda huo mfano NewForce/Holden Deer Posho kwa madereva hiyo ni utaratibu upo toka enzi na enzi ni lazima utawalipa na watapata...
  5. G

    Watanzania wasomi na wasio wasomi lakini ni wajasiriamali acheni kukodi fremu ili kufungua biashara

    😂😂😂hapo wewe ndo unaweza kujiona mjinga ukija kujua kias wanachoingiza kwa biashara mkuu mimi nafanya Hiyo biashara reja reja tu nalipa kodi mara mbili ya hiyo na nina uhakika wa net profit siyo chini ya 3.5M hapo gross profit inacheza kwenye 4.5 mpka 5.5M
  6. G

    Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

    Hongera mkuu..........tupe madini na sisi tuzame Pori huko tupige hela
  7. G

    Tanzania ukiajiriwa Serikalini ni raha kuzidi kujiajiri kwa kipato sawa na mshahara wa aliyeajiriwa

    Aliyejiajiri leo ndo huyo huyo atakuja kuajiri kesho kwa hiyo huwez kumtoaa Aziz kwenye discusion sabb ametokea kwenye kujiajiri mpka kuajiri
  8. G

    Mabroo acheni kuwasakama wadogo zenu ambao hawajatoboa

    Katika vitu nimejifunza ni kuacha ku complain kabisa japo sometimes ma bro wanazingua wanataka ule ugumu waliokutana nao na sisi tuumie nao kwanza na ndo maana ngozi nyeusi hatuendelei kabisa kwann tusijifunze kwa hawa waarabu au wahindi jinsi wanavyo train wadogo au wanafamilia wao Yote kwa...
  9. G

    Dar kwenda Tanga

    Nacharo au Ratco hizo ndo kampuni mbili zinafanya vizur kwa sasa njiaa ya Dar to Tanga
  10. G

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kama wapo shuleni kwa sasa wanaandikisha kupitia shule zao wanaposoma kwa gharama zile zile but kama hawapo shuleni na ni yatima hiyo ni changamoto kubwa system imeamua kuwatenga pia So sad🥲
  11. G

    Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

    Hiyo biashara kuna jamaa kafanikiwa kwa kiasi fulani but inabidi uwee katili kweli kusimamia hiyo biashara na kingine yeye bajaji zake zote zinapita route moja so it means anaziona zote muda zinafanya kazi na kulaza zinalala nyumbani kwake zotee jamaa hacheki kabisa na vijana
  12. G

    Tuliowahi kuchanganya biashara na Elimu na tukafanikiwa kote tukutane hapa

    Hizo hustle zako mimi nakubali kabisa kaka na pia ulipata bahati sanaa watu ulofanya nao kazi walikuwa wamenyooka Kwa upande wangu nilifanya biashara nikiwa bado nasoma chuo nikafikisha 10M bahati mbaya corona ikajaa ikalamba mtaji wote ukakataa After chuo nikajichanga tena mtaji wa 15M...
  13. G

    Kati ya Mbagala na Gongo la Mboto wapi kuna watu wengi?

    Mimi ninaishi gomz but mbagala kuna watu aseee yani ukitoa lile nyomi la kkoo bas inafuata mbagala aseee yani mbagala siyo rangi tatu tu mpk huko mbande,chanazi kongowe mpk vikindu fulu nyomii Na njia rahisi angalia gari zinazotoka rangi tatu kuingia maeneo mengine ya mbagala afu njoo gomz...
  14. G

    Falsafa ya mzee wangu kusomea Udaktari, Engineering au Sheria imetuokoa sana Watoto wake hence prooven, Nami sina budi kuiendeleza kwa watoto

    Mpakaa kufikia kulipwa huo mshahara anatakiwa awe na elimu kiasi gani ama experience kiasi gani mkuu???
  15. G

    Kwanini wazazi wengi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji ya biashara

    Mimi ni graduate kama wewe tu mkuu tena wa kada unayotoka wewe tunafanana kidogo kitaaluma. Hilo swala kiuhalisia linatutesa vijana wengi sana na tatizo siyo wazazi but ni ile mindset yake hasa akiwa ameajiriwa na hajawah kufanya biashara kabisa Kwa upande wangu me nilishasoma mchezo toka niko...
Back
Top Bottom