Binafsi, sioni kama ni sawa. Ilitakiwa, aliyeweka katazo hilo, tena kwa kumuagiza IJP, arudi na kutengua lile agizo. Ila, haishangazi, kama kile KITOTO cha UVCCM kiliweza kumkemea MAKAMU WA RAIS, na pia yule Mzenji kumuita MSALITI, hakuna aliyewakemea, unategemea nini?