JF ya sasa, si msaada tena kama miaka mingi iliyopita. Miaka ile, matukio muhimu yatokeayo kila kona, tulikuwa tunahabarishwa LIVE, hivyo kujua kwa ukaribu matukio kadhaa kwa wakati. Mikutano ya CCM ,yule sijui Mwanadiwani alikuwa anahabarisha kila tukio kwa wakati. Na vyama vingine hivyo...
Mkuu, upo sahihi sana! Utangazaji wa Radioni na kwenye TV, ni tofauti. Wapo watangazaji wa kwenye TV, hawajui hilo, wao wanatangaza hata mchezaji anaporuka juu na kupiga kichwa mpira, au hata beki anaporudisha nyuma mpira kwa golikipa. Kwenye TV, haya yote sisi watazamaji, tunaona!
Jamaa yupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.