Recent content by Ghiti Milimo

  1. Ghiti Milimo

    Nawezaje kujiunga Telegram?

    Nami nilitaka kuunga kwenye handset tofauti, ilikataa!
  2. Ghiti Milimo

    Dodoma: Mahakama ya Rufaa kusikiliza maombi ya CHADEMA kutaka kesi ya mgawanyo wa mali kufanyiwa marejeo

    JF ya sasa, si msaada tena kama miaka mingi iliyopita. Miaka ile, matukio muhimu yatokeayo kila kona, tulikuwa tunahabarishwa LIVE, hivyo kujua kwa ukaribu matukio kadhaa kwa wakati. Mikutano ya CCM ,yule sijui Mwanadiwani alikuwa anahabarisha kila tukio kwa wakati. Na vyama vingine hivyo...
  3. Ghiti Milimo

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Mkuu, kunywa panado vidonge viwili, na maji mengi, kisha upumzike kwa kulala kidogo!
  4. Ghiti Milimo

    FT: Pamba SC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | CCM Kirumba

    Golikipa huyuuuuuu…… sijuiii!
  5. Ghiti Milimo

    Man-u bado tuna mtihani?

    Ombi lako lilikubaliwaaaa!
  6. Ghiti Milimo

    Gharib Mzinga apunguze kutoa historia kwenye mechi, atangaze mechi bhana

    Mkuu, upo sahihi sana! Utangazaji wa Radioni na kwenye TV, ni tofauti. Wapo watangazaji wa kwenye TV, hawajui hilo, wao wanatangaza hata mchezaji anaporuka juu na kupiga kichwa mpira, au hata beki anaporudisha nyuma mpira kwa golikipa. Kwenye TV, haya yote sisi watazamaji, tunaona! Jamaa yupo...
  7. Ghiti Milimo

    Mange Kimambi: Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia kwa Magufuli

    Huyo JPM, namuombea, AFE TENA HATA HUKO ALIKO!
  8. Ghiti Milimo

    Hivi Instagram una matatizo gani? Hii account ya 10 inafungwa tu

    Hata mimi nimefungiwa tatu! Cha kushangaza, zote sijawahi ku post chochote, zaidi ya kusoma tu, post za wengine!
  9. Ghiti Milimo

    Mafwele awanoa polisi Kata Dar es salaam. Majibu yamepatikana

    Kumbe habari yenyewe ni ya MWAKA JANAAAAA!!!!!
  10. Ghiti Milimo

    DOKEZO Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetelekeza Abiria Mwanza, hadi sasa hawajui hatma yao

    Mara nyingi ratiba za ATC huvurugika, pale yule Rais kutoka nchi jirani anaye TUTAWALA anapokuwa ana safari. Hata ya kwenda kwao tu, inaiathiri ATC!
Back
Top Bottom