pamoja na kujaa watu wenye UPEPO kichwani kama wewe, bado JF linaitwa jukwaa la Great Thinkers... kama Great thinkers tulionao ndo hawa, basi Tanzania kama taifa lina janga kubwa.. Great thinker asiejua kua miundombinu bora ni engine ya uchumi? dah kweli Tz vituko hamuishi
we jamaa boya kweli TANZANIA tunawaonea wivu ndo kutwa mnashinda mnatangaza vitu vya TANZANIA ni vya kwenu! mlima Kilimanjaro wa kwenu, Pemba ya kwenu, Samatta wa kwenu nk... nadhan mixture ya miraa na chang'aa mnayotumia inawaendesha vibaya..
wengi dizain yako hua mkiulizwa uinjinia mmesomea hua mnadai ni utundu utundu tu na ujanja.. hamna vyeti kwaiyo mngejielekeza kwenye kukosoa miradi ya ujenzi wa nyumba za mgongo wa tembo na slop za wakulima wenzenu mashambani sio miradi mikubwa na complicated kama unayoikosoa...
masupervisor kwenye site za matofali mnakuaga wajuaji sana.. nadhani taarifa unazozitaka ziko wazi wizara husika, rahco na kampuni kuu ya uturuki iliyoshinda tenda na wasaidiizi wao kutoka ureno.. watembelee mchanganuo wote utaupata pale...
umeshasema we sio engineer sasa haya mambo utayajuaje? hata hostel UDSM walisema haziwezekani kwa bill 10 ila leo makandarasi na wahandisi pori wote waliokomalia huu upuuzi wamekimbia jukwaani
nina vocha tatu mfukoni toka maduka matatu tofauti zote niliweka nikaambiwa zimetumika, nikawapigia wakaniambie nipige 104 niziweke kwa njia nyingine, nikapiga na kila nikiibiza namba za vocha naambiwa namba suo sahihi na mwisho wa siku nikaambiwa niende tigo shop nikapewe vocha nyingine ambapo...
dah ustadh ungepitia kwanza andiko lako kabla hujaileta hapa.. naona unachanganya destroyer na aircraft carrier.. destroyer inabeba makombora na kushambulia wakati aircraft carrier ndo inabeba ndege nyingi zikiwa za mashbulizi kwa ajili ya kusogeza mashambulizi karibu.. destroyer inabeba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.