Binafsi mtu pekee ninayemuona hayuko sawa ni yule aliyevaa nguo chafu au inayoonyesha sehemu zake zisizifaa kuonekana hovyo. Vilivyobaki vyote kwa ni sawa tu, kwa sababu hata huo uvaaji mnaosema ni wa utanashati umetokana na maoni ya baadhi ya watu waliona inawapendeza zaidi.
Je, wewe ni mjasiriamali na unajiuliza ni vipi utaongeza ubora wa bidhaa zako na kuongeza mauzo. Leo Digital Sprayer tunalo jibu la maswali yako. Tumekuletea huduma ya uchapaji(printing) na ubunifu(design) wa label za bidhaa za aina zote kwa gharama nafuu na ubora wa hali ya juu.
LABEL NI...
Ushauri wangu nikiwa kama mtu mwenye experience ya miaka kadhaa kwenye industry ya graphics design na printing kwa ujumla. Baada ya ongezeko na college uchwala nyingi kuanza kufundisha wanachokiita graphics design soko la ajira hii limebadilika sana ila kuna opportunity nyingi kama utakuwa ni...
Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.
R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.