Recent content by Ggadafi

  1. Ggadafi

    Kati ya uMagufuli na Samia ni upi umejaa wahuni zaidi? Tuorodheshe matukio ya kihuni

    Kila mtu na maono yake katka uongozi.. Msichambue mchele gzani
  2. Ggadafi

    Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

    huko mtaan wewe ni nani? au unaona ya wenzako tu
  3. Ggadafi

    Sababu Vijana kuchelewa kufanikiwa kimaisha mjini

    Sasa hvi kuna bettng ni zaid ya yote uliyosema kwa vijana wa kisasa japo sio wote
  4. Ggadafi

    Tumia elimu yako kutengeneza mwenyewe

    Habari zenu wadau! Bila Shaka mko vizuri, poleni na majukumu ebana, nashangaa sana na sifurahi nimwonapo kijana msomi, tena aliyezaliwa kijijini akihangaika mijini na maisha ya kuungaunga na elimu yake kichwani.. unaanzajaje kuondoka kijijini sehemu ambako kuna fursa chungu nzima, et unaenda...
  5. Ggadafi

    Burundi raha sana, Windhoek ni 1500 ya Kitanzania

    Kwa hal hiyo, ni pesa ipi inayokuwa na thamani?? Ndogo ya huduma nyingi/nyingi ya huduma ndogo??
  6. Ggadafi

    Kwanini Wahindi Watoto huwa hawakai Boarding?

    Apana ni vile tunawalea tu
  7. Ggadafi

    Msaada wangu umeniponza...

    Hawa wadada ata mm nashndwa kuwaelewa, yan ukimsaidia chochote tu lazma aanze kukufatilia! Wengi wao hawaamini kuwa unaweza kumsaidia bila kutaka kitu kutoka kwake
  8. Ggadafi

    Naomi Osaka kuja na Kampuni yake ya Mawasiliano ya HanaKuma

    Anaileta wapi, Tanzania au
Back
Top Bottom