Recent content by getwaa

  1. getwaa

    Dalili kuu za mtu aliyefanyia mambo ya uchawi mtu aliyerogwa kiuchawi

    Habari mtaalam! Mimi nina tatizo la tumbo kujaa gesi na baada ya kujaa gesi najihisi kwenda haja kubwa. Kwa siku najisaidia haja kubwa zaidi ya mara nne hususan wakati wa asubuhi. Tumbo likijaa gesi hata kazi siwezi kufanya. Hiyo inaweza kuwa dalili za uchawi?
  2. getwaa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Sawa, nitazingatia ushauri wako ila mashaka yangu ni kwamba nimefika zaidi ya mara moja kufuatilia jambo hilo na majibu ni kama hayo niliyoandika hapa! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. getwaa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Samahani, Sina uhakika wa privacy yangu nikitaja majina yangu hapa! Labda naweza kutumia njia nyingine kukutumia!? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. getwaa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nipo wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, nimelipia umeme baada ya kukamilisha taratibu zote, nyumba ipo ndani ya umbali wa mita 30 (i.e. 19 meter) kutoka kwenye nguzo leo ni siku ya 36 sijafungiwa mita. Kila nikiuliza naambiwa mita hazijaja kutoka Bukoba mara hakuna nyaya. Naomba unisaidie...
  5. getwaa

    Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

    Nipo wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, nimelipia umeme baada ya kukamilisha taratibu zote, nyumba ipo ndani ya umbali wa mita 30 (i.e. 19 meter) kutoka kwenye nguzo leo ni siku ya 36 sijafungiwa mita. Kila nikiuliza naambiwa mita hazijaja kutoka Bukoba mara hakuna nyaya. Naomba unisaidie...
  6. getwaa

    CRDB msipojirekebisha wateja watawakimbia

    Labda nao wameelemewa na wateja kama ilivyokuwa kwa wenzao wa NMB!
  7. getwaa

    CRDB msipojirekebisha wateja watawakimbia

    Kutengeneza brand huchukuwa muda sana ila kuporomosha ni fraction of a second!
  8. getwaa

    CRDB msipojirekebisha wateja watawakimbia

    Hawajafikia huko mkuu, wakijirekebisha kwenye eneo hilo wataendelea kuwa the Best!
  9. getwaa

    CRDB msipojirekebisha wateja watawakimbia

    Hapana broo, vikoba nako kuna matatizo yake! Ni bora nianzishe savings kidogo kidogo ya nyumbani kuliko vikoba!
  10. getwaa

    CRDB msipojirekebisha wateja watawakimbia

    Benki ya CRDB ni miongoni mwa benki zinazofanya vizuri sana hapa Tanzania kibiashara. Maeneo ambayo benki hii iliboresha na kuwa ya kupigiwa mfano ni eneo la huduma kwa wateja haswa kipengele cha kuwajali wateja. Watu wengi walikimbia foleni za NMB hususani watumishi mbalimbali. Kwenye upande...
  11. getwaa

    Wananisakama kuhusu meno yangu hadi tabasamu langu limeisha

    Ndugu nakuja inbox kupata ufafanuzi kidogo wa sms yako! Kuna kitu utaweza kunisaidia kupata ufumbuzi!
  12. getwaa

    Mpenzi wangu ananisaliti pia anajifanya ananipenda

    Akikwambia anakupenda nawewe mwambie unampenda! Then maisha yanaendelea!
  13. getwaa

    Naombeni msaada wa tiba ya kuongeza damu kwa haraka kwa njia asili

    Changanya tende na maziwa fresh yaliyochemshwa kunywa mara kwa mara, inatoa majibu kwa muda mfupi sana!
  14. getwaa

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    Iko poa sana mkuu The bold! Ubarikiwe!
Back
Top Bottom