Suala sio kulazimishwa, kodi take ndio mapato ya serikali tunayoilalamikia kubwa huduma za kijamii hazipo kumbe tunashiriki ujinga wa kukwepa kulipa kodi! Hiyo anayekwepa kulipa kodi anihujumu nchi! TRA njooni Humu watu watoe ushirikiano.
Mh.Mbunge Ni matumaini yetu uumzima wa afya njema! Sisi wananchi wa Chanika Mjeule tunaomba kujengewa daraja kwenye bonde la kuelekea Kisarawe! Ni adha kubwa Sana tunaipata kipindi cha mvua! Watoto wanashindwa kuvuka kwenda Shule,watu wakubwa huvua nguo kwani maji hufika mpaka kiunoni!
Tunaomba...
Wakazi wa Chanika Mjeule tunapata tabu kipindi cha mvua,kwani tunashindwa kupita kwenda makazini kwasababu mto hujaa maji! Tunaomba kero hii itatuliwe kabla mvua hazijaanza
Kwa mfano Simba inafanya kila mwaka tamasha la simba day hapa Dsm, kwanini wasifanye mikoa tofauti kila mwaka katika harakati za kuongeza mashabiki pamoja na wapenzi katika mikoa mingine?
Mabadiliko katika Ulimwengu wa sayansi na technolojia Ni kitu ambacho hakiepukiki.
kwa kuwa tumelelewa katika tamaduni za kuabudu tamadani za magharibi kwa maana ya Ulaya,hatuna budi kujitafakari kama taifa kuwa michezo Ni ajira pekee katika ulimwengu wa ssasa kwa vijana katika taifa lolote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.