No ya simu Kwa Sasa siwezi toa hapo, kama kutakuwa na kijana yuko interested tupige kazi aje Inbox huko tukielewana nitampa no zangu tuwasiliane vyema. Wala hakuna ubaya ndugu zangu.
Habari,
Kijana, yoyote mzoefu wa KUCHOMA chips na mishikaki aliewahi Fanya hiyo kazi hapa Dar es Salaam au sehemu nyingi tuwasiliane aje PM.
Au kama anafanya tayari kuna ila hana mtaji wa Kutosha wa biashara mimi nipo tayari kutoa pesa , tutaona tunaelewanaje.
Nahitaji vijana wawili tu...
Jamaa ni Mtabiri mzuri sana,na wengine huwa tunakuwaga na maono mengi sema ni ni hofu ya kuyasema ,mengi huwa ni exactly 80% hata kwenye personal life...haya yanawezekana kuonyeshwa ya mbele japo siyo lazima yafanane yote...
Kudos..kwake
Na recommend huu na ndio nusikiliza sana
The Chainsmokers -_- Family
Almost nyimbo zote za hawa jamaa naweza sikiliza a month na. New album Yao ya "The fall"
Kasomea pharmaceutical technician... Bado hajapata leseni , Bila leseni wao kazi inakuwa changamoto, ndio nilikuwa mbio kimlipia afanye paper la leseni, now kagoma.
Kweli kabsa Hilo nalitambua, hata Mimi nilimweka bayana kabsa kuwa kama ataondoka mtoto bado atapata mahitaji yake otherwise amwache aondoke kivyake
Hata kama hajafikisha Umri wa miaka 7 kisheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.