Natafuta vijana wawili wa kuchoma chips

Geredi

Member
Nov 18, 2020
49
53
Habari,

Kijana, yoyote mzoefu wa KUCHOMA chips na mishikaki aliewahi Fanya hiyo kazi hapa Dar es Salaam au sehemu nyingi tuwasiliane aje PM.

Au kama anafanya tayari kuna ila hana mtaji wa Kutosha wa biashara mimi nipo tayari kutoa pesa , tutaona tunaelewanaje.

Nahitaji vijana wawili tu wachapakazi, waaminifu (Ujira(mshahara) maelewano Wala hakutakuwa na shida Kwa hilo.

Nitatoa vitu vyote vinavyohitajika kwaajili ya kuendeshea biashara hiyo.

LOCATION -Dar es salaam
Makazi watajitegemea wao wenyewe na chakula, ila nipo tayari kutoa Msaada wa chakula Kwa mwezi 1 wa kwanza.
 
No ya simu Kwa Sasa siwezi toa hapo, kama kutakuwa na kijana yuko interested tupige kazi aje Inbox huko tukielewana nitampa no zangu tuwasiliane vyema. Wala hakuna ubaya ndugu zangu.
 
Habari,
Kijana, yoyote mzoefu wa KUCHOMA chips na mishikaki aliewahi Fanya hiyo kazi hapa Dar es salaam au sehemu nyingi tuwasiliane aje PM

Au kama anafanya tayari kuna ila hana mtaji wa Kutosha wa biashara mimi nipo tayari kutoa pesa , tutaona tunaelewanaje


Nahitaji vijana wawili tu wachapakazi , waaminifu (Ujira(mshahara) maelewano Wala hakutakuwa na shida Kwa hilo

Nitatoa vitu vyote vinavyohitajika kwaajili ya kuendeshea biashara hiyo

LOCATION -Dar es salaam
Makazi watajitegemea wao wenyewe na chakula , ila nipo tayari kutoa Msaada wa chakula Kwa mwezi 1 wa kwanza ..
nimekuja pm mapema sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom