off-sir
Member
- Dec 21, 2019
- 65
- 56
Wakuu bila kupoteza muda, wacha niende moja kwa moja kwenye point. Mimi ni kijana ambaye kama vijana wengine na ndoto za kufanikiwa.
Nimeona ni vyema nikapata ushauri kutoka kwenu ndugu zangu nina kiasi cha fedha/ mtaji wa shillingi laki sita nifanye biashara gani au harakati gani ambayo itafaa kwenye pesa hiyo
Naomba kuwasilisha.
Nimeona ni vyema nikapata ushauri kutoka kwenu ndugu zangu nina kiasi cha fedha/ mtaji wa shillingi laki sita nifanye biashara gani au harakati gani ambayo itafaa kwenye pesa hiyo
Naomba kuwasilisha.