Recent content by Georgemkali wao

  1. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Hujai jeshini,huna siri na pia inaonekana hata maisha yako unayaanika wazi jirekebishe sio kila kitu ni cha kuexpose take care
  2. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Baba kanituma zipo Mimi nawapressulize tuu nawaomba mpambane mfanikiwe tuu
  3. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Vijana msiwe na wasiwas I n
  4. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Kweli unauma eeeh ***** walivyofanya wenzenu mlikua wapi
  5. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Povu kachukue kama ni joining instruction ile mtataga na hela mmeliwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  6. Georgemkali wao

    Natafuta mchumba, mume mtarajiwa

    Masharti yote hayo iyo chura yako INA kipya kipi kwani,au INA TV ndani,In mwanaFA voice.
  7. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    ***** baba kanituma mpo izo mambo hamna safari hii mtataga na kuatamia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Nani kakuambia jkt inaajiri? Umeshaambiwa unaenda kujitolea kule then kupata nafasi vyombo vingine ni mambo ya Bahati tuu na usifikiri hapo unaowasemea watarudi wote kuna watakaobahatika kuajiriwa
  9. Georgemkali wao

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Achen kubeti hamtaki saiv timu zinacheza kwa kulilax nyingi zinajijua zimefuzu
  10. Georgemkali wao

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Thubutu yako[emoji23] [emoji23] [emoji14]
  11. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Nanga wewe inamaana aliyekupa chance hajui kambi nzuri ya kukupeleka hadi uje humu.
  12. Georgemkali wao

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilishazionaga kitambo izo ishu za baba kanituma na kuna madogo nilitaka niwafanyie kupitia MTU moja mkubwa sana hapa nchin ktk chombo ambaye alikua anawapa fomu ndug zake wanaziuza na wengi tuu wapo chomboni kupitia yeye lakn mwaka huu alisema fomu hazitatoka
Back
Top Bottom