Nani kakuambia jkt inaajiri?
Umeshaambiwa unaenda kujitolea kule then kupata nafasi vyombo vingine ni mambo ya Bahati tuu na usifikiri hapo unaowasemea watarudi wote kuna watakaobahatika kuajiriwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilishazionaga kitambo izo ishu za baba kanituma na kuna madogo nilitaka niwafanyie kupitia MTU moja mkubwa sana hapa nchin ktk chombo ambaye alikua anawapa fomu ndug zake wanaziuza na wengi tuu wapo chomboni kupitia yeye lakn mwaka huu alisema fomu hazitatoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.