Huwezi kufunga maji yasiingie kwenye bwawa, ila unaweza kufungua maji yakatoka kwenye bwawa ili kina cha maji kishuke.
Hili la kufungulia maji lina madhara; mafuriko kwa wanaoishi chini ya daraja
NB:
Hilo la mashine kuzimwa lina kasoro: huenda maji yameingia kwenye mashine na huenda mashine...
Pesa ipo..mbona tunanunua magoli ya simba, yanga, taifa stars kwa 10m/goal.
Hivyo vibilioni 84 si ni pesa kwenda kusalimia ndugu zangu kule kwa wavaa makobazi kwa siku 10 tu.
Kwani nani aliyeelewa hili: maji ya mvua zinazonyesha hayaendi kwenye mabwawa yetu ya kufulia umeme.
Kwa hisani ya "mkurungezi" wa shirika lenu la umeme
Kwa hiyo mzee gamond hao vijana wako walikua hawataki kombe la mapinduzi? Au mngeshinda kombe mngelikataa?
Halafu mzee gamondi mbona wewe na ali komeine mlijutia sana kufungwa na timu "mbovu" ya aperee?
Mzee jiangalie kwa mwendo huu, hao uto hawachelewi kukutupia mabegi yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.