Recent content by georgeallen

  1. georgeallen

    Bado CCM hakujatulia. Naziona teuzi na tenguzi nyingine muda si mrefu

    Kwa ufasaha zaidi ni kwamba: Mteuaji na wateuliwa hawasomani
  2. georgeallen

    Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere

    Huwezi kufunga maji yasiingie kwenye bwawa, ila unaweza kufungua maji yakatoka kwenye bwawa ili kina cha maji kishuke. Hili la kufungulia maji lina madhara; mafuriko kwa wanaoishi chini ya daraja NB: Hilo la mashine kuzimwa lina kasoro: huenda maji yameingia kwenye mashine na huenda mashine...
  3. georgeallen

    Wanaoshinda kwenye computer/laptop na wanapata pesa huwa wanafanya kazi gani huko?

    Nigeria wanawaita yahoo boys, kazi yao ni kutapeli vizee vya kizungu.
  4. georgeallen

    Ni upi Msimamo wa Serikali kuhusu Vipimo vinavyopima mwili mzima kwa Tsh. 20,000?

    Ummy anaupiga mwingi. Wizara ya afya imepatà waziri mchapa kazi kati ya wote waliowahi kuwa mawaziri wa wizara hiyo ya afya
  5. georgeallen

    Jambo gani ambalo uliwahi kulipania kwa hamu kubwa kulipata baadaye likakushinda?

    Nilipanga kunywa chui kubwa kreti 10, nikaishia 5 tu.
  6. georgeallen

    Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

    Mimi sijui wamejichanganya, nimecheck balance naona wameniwekea mshahara tayari.
  7. georgeallen

    Mikopo ya Wanafunzi wa Diploma Bodi mtoe taarifa kinachoendelea

    Pesa ipo..mbona tunanunua magoli ya simba, yanga, taifa stars kwa 10m/goal. Hivyo vibilioni 84 si ni pesa kwenda kusalimia ndugu zangu kule kwa wavaa makobazi kwa siku 10 tu.
  8. georgeallen

    Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

    S Si ulichezea 10m kila mwezi, sasa subiri kuchezewa.
  9. georgeallen

    Kwa Wazazi ambao watoto wenu bado hawajapokelewa shule za English Mediums kwa sababu bado hamjalipa ada, pitieni hapa

    Mimi na wengine ambao tuna watoto wanaosoma private schools hatuwezi na hatutakaa tukuelewe. Eti tupeleke watoto st kayumba.
  10. georgeallen

    Aliyemuelewa Mkurugenzi wa TPA, Plasduce Mbossa atusaidie kufafanua hili

    Kwani nani aliyeelewa hili: maji ya mvua zinazonyesha hayaendi kwenye mabwawa yetu ya kufulia umeme. Kwa hisani ya "mkurungezi" wa shirika lenu la umeme
  11. georgeallen

    Gamondi: Tulitumia Kombe la Mapinduzi kujaribu wachezaji

    Kwa hiyo mzee gamond hao vijana wako walikua hawataki kombe la mapinduzi? Au mngeshinda kombe mngelikataa? Halafu mzee gamondi mbona wewe na ali komeine mlijutia sana kufungwa na timu "mbovu" ya aperee? Mzee jiangalie kwa mwendo huu, hao uto hawachelewi kukutupia mabegi yako
Back
Top Bottom