Msimlaumu saaana mtoa mada,uwezo wake wa kufikiri umeishia hapo!,post yake tumeisoma,tumeichangia,nampongeza,siku nyingine atatuma mada yenye akili,mtieni moyo.
Laki si pesa,mbona utajinyonga mwaka huu,CHADEMA haooooo!,wameondokaa.Kama mnampenda Zitto saaana msaidieni kulipa deni la kesi mliyomtuma.Huu ni mwanzo tu wasaliti wanaotumiwa na MAGAMBA wataumbuka wote,intelejensia ya CHADEMA si ya kitoto,haya sasa tafuteni pandikizi lingine.
Hongereni CHADEMA Olasiti kuwaongoza wananchi kujipatia huduma ya maji safi na salama kwa kipindi kisichozidi miezi mitatu ya uongozi wenu,CHAMA CHAKAVU(CCM) hilo liliwashi miaka 53 ya utawala wao wanachokiweza wao ni UFISADI tu wa mali za umma.SHAME ON YOU "MAGAMBA"!
Kwani ziara zote alizofanya Kinana na Nape kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa wamevuna nini?.Uliza Mara,Mwanza,Kagera,Shinyanga,Simiyu,Rukwa,Mbeya,Iringa,Njombe,Manyara,Arusha,Kilimanjaro na Morogoro CHAMA CHAKAVU(CCM) wamevuna nini?
Maziwafresh hoja uliyoleta jukwaani ina mashiko kwa ustawi na maendeleo ya chama chetu CHADEMA.ni lazima wananchi waone tofauti ya utawala wa CHAMA CHAKAVU (CCM) na chama tumaini la watanzania (CHADEMA).Kama viongozi waliochaguliwa kwa imani kubwa na watanzania watafanya mambo mabaya kama ya...
Rock Spider,wapare tumeshituka,magamba hawafurukuti tena,enzi yao upareni imekwashaa waulize Anne Kilango Malecela na Matayo David Matayo wakueleze vipigo walivyovipata toka kwa wapare kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.