IQ inapimwa kwa idadi ya mikunjo ya ubongo, na output yake inaweza pimwa kwa uwezo wa mtu binafsi kukabiliana na changamoto mbalimbali. Napata tabu sana kuona binadamu mwenye IQ kubwa kwa sasa ni mjerumani mkulima anayeishi maisha ya kimaskini kupita kiasi
Umechagua vema Big-up sana. Utulivu wa nafsi ndo maisha. Hekaheka nyingi zinatuondoa kwenye maana kuishi. Nenda kafanye yafuatayo
1. Everyday meditate (need to be isolated)
2.Occultism (super natural belief) NB unaweza ukaitwa mwanga
Ukienda makete nenda sehem kunaitwa ilolo mazingira ni...
Baada ya kifo maisha huendelea tunacho badilika ni maumbile tu. Hushangai mtu akifa mwili huoza na kutoa wadudu (viumbe hai) hao wadudu ni wewe, tena ni chakula cha viumbe wengine, ni mzunguko kama mchezo wa kombolela-we are not perish
Wakati flani nenda Nida jiweke kwenye status, Nchi hii bila kiki haiendi. Mimi wakati nasajiri Brela niliteseka sana, kuna siku sitasahau nilienda Nida huku nimevaa tai yenye bendera ya taifa pamoja na ID ya kuzugia tu, jamaa walivyoniona kwanza wakasema karibu Mh. Ndani ya sekunde wakanitolea...
Heshima zenu wakuu, kuna rasta mtaani kwetu hapa ananidham sana, mpole, mcha Mungu, zaidi ya yote anashiriki sana mambo ya kijamii, ila tu ikifika jion anakula sana mmea. Sasa je nawezaje kuwa rasta bila kutumia mmea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.