Unatakiwa kuwa makini isije ikakugeukia, Ninao mfano dhahiri wa ndugu yangu yeye alitoa taarifa Polisi ya jamaa aliyekuwa akiishi kinyumba na watoto wadogo na jamaa ni muathirika.
Jamaa alikamatwa akasota ndani zaidi ya miezi mitano akaachiwa kwa dhamana kwa ufupi jamaa yupo huru. Kibao...
Asilimia kubwa sio wakazi wa hapo,wengi wameletwa kutoka magoma,kwashemshi,mombo na vijiji vya karibu kwa ufupi mikutano ya CCM ni ya kutengeneza sio halisi hili lipo wazi na nimelishudia
Anataka awaangushie jumba bovu CHADEMA/Mbowe, Juzi aliomba askari wamshikilie na kumhoji dereva wa basi aliyegonga gari la mgombea ubunge wa CCM hai kama ni ajali ya kawaida au ya kisiasa
Mungu aendelee kuwatia nguvu na kuwalinda Viongozi wote watakaoshiriki kwenye hatua hii ya lalasalama, Ni matamanio yangu nchi yetu itapata kiongozi atakaye simama na Watanzania wote #Ni yeye Tundu Lissu 2020
Hili la mawakala inabidi viongozi waliangalie kwa umakini maana kwahali ilivyo kwasasa lazima ccm watafanya uhuni wao kukwamisha mawakala wa CHADEMA/ACT
Mikutano iendelee kama kawaida ila Lissu asipande jukwaani kama wanavyotaka tume, akisimama kwenye gari na waweke sauti yake au video ambazo ni recorded
Kumuona Tundu Lissu tu ni kampeni tosha
CCM ni laana ndani ya hii nchi tuwakatae, hawana uchungu na watanzania bali maisha yao hapo wanatamani hata wakafunike jeneza la marehemu na shuka lao la mbogamboga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.