Recent content by Geok

  1. Geok

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Bila VPN hauwezi kuingia X (Twitter) Tanzania. Vipi huko mnaotumia Facebook na Instagram?

    Yani hizi radio za bongo nilishaachaga kuziskiliza mwaka wa 5 huu. Kuanzia AM - PM wanajadili nonsense tu. Nikajiapiza habari nitazipata JF na X bac.
  2. Geok

    JamiiForums Tanzania KERO Hizi foleni za Mwenge zimekuwa too much sasa

    Mitano tena.
  3. Geok

    JamiiForums Tanzania Maisha wanayoishi wakazi wa Masaki, Mikocheni, Msasani ni Duni sana. Nimejisikia vibaya

    Kuna movie inaitwa LOCKED ya mwaka huu. Mule ndani kuna SUV smart balaa. Asee mtu ukiwa na pesa una-order utengenezewe ndinga kama ile. All in all, huu uzi bila picha ni nonsense.
  4. Geok

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia kijana wa kiume unapojihusisha na mahusiano ya kimapenzi

    Kama kawaida, naenda kuuprint, napiga picha mbao. Nauweka ukutani.🔥🔥
  5. Geok

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo

    Kama ana mpango wa kuoa wote utajuaje? Labda uyo atakuwa mke wa pili, coz sio kwa iyo confidence anayokuwa nayo kwenda nae kila mahali.
  6. Geok

    JamiiForums Tanzania Ibrahim Traore: Huu ndo ujinga na upumbavu wa Waafrika!

    Wewe ni mmarekani? Kuandika tu iyo sentensi inaonesha namna gani na wewe akili yako ilivyo duni.
  7. Geok

    JamiiForums Tanzania Ila Ford Ranger zimekaa kibabe

    Sio kweli, kenya kodi ni kubwa kwa matoleo ya zamani ila matoleo mapya ya magari kodi sio kubwa. Ndo mana kenya latest car zipo nyingi sana kuliko bongo. Kule hawatak uchafu huo wa matoleo ya zamani. Sio bongo mtu huna hela unaona uagize gari toleo la 2010, angalau upunguze gharama za kodi.
  8. Geok

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hodi hodi Mwanza: Zijue sababu za kiroho kwanini Likud anaenda Mwanza tarehe 19 May na kurudi Dar tarehe 23 May

    Huu uzi bila picha ni kama chai tu.
  9. Geok

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Wasanii ambao hata wafanye nini hawawezi kurudi tena kwenye game... wageukie fani zingine

    Ni mawazo yako, na ni kwamba wewe ndo huwafwatilii hao uliowataja.
  10. Geok

    JamiiForums Tanzania Tuchambue kwa upana Part 1 ya interview ya Jesca Magufuli na Millard Ayo

    Na hii ndo akili ya mtu mweusi yoyote yule akipata madaraka.
  11. Geok

    JamiiForums Tanzania Tupunguze Siri Wakuu

    💯💯
  12. Geok

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa serikali mliwezaje kutoboa, mbona mimi naenda kushindwa

    Mwamba wife wangu ana pigo kama hizo. Hapa nipo najipanga nimfungulie saloon ya kike maana anajua kusuka. Yani mke wa namna iyo mtafutie cha kufanya, asikae anawaza pesa yako tu, lazma ataitumia bila mpangilio maana hajui inavyotafutwa.
  13. Geok

    JamiiForums Tanzania Takwimu zinavyomkataa Ibra Traore kama mkombozi wa Burkinabe na Waafrika

    🚮🚮🚮
  14. Geok

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Neno moja tu la manzi linalo nitiaga wazimu.

    Hii comment nimecheka kingese...dahhh kuna watu sijui huwa mnafikiriaga nn asee🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom