Toka saa nane za usiku vitu,vimeanza kuungua taa zinalipuka hovyo,hadi saa tatu hii,bado hakuna solution.
Tunaomba umeme uzimwe haraka vitu vinaungua huku,mkipigiwa simu mnasema mnakuja hadi sasa kimya.
Umeme toka jana saa mbili ulionyesha kuna tatizo lakini mmeacha hadi limekua kubwa.
Naweka...
Nina elimu ya electrical na electronics ngazi ya chuo,nimejikita katika kubuni na kuunda vitu mbali mbali vya umeme na electronics,Nina expereience ya zaidi ya miaka 10 katika industry ya umeme na electronics,nina projects nyingi ambazo nimedesign na kuziunda na nyingine ambazo bado sijaziunda...
Swali la kwanza:-
Ningependa kujua kama kazi imetangazwa inahitaji watu wa level ya form 6 then mimi nikatuma na vyeti vya degree
Mfano nina degree ya Geography
Je nitakuwa naongeza possibility ya kuitwa kwenye usaili au la?
Na mfano kazi imeandikwa hivi-;
Qualification
* Advanced...
Talented brothers Academy ni center inayotoa mafunzo kwa QT,Re-sitters,Pre-form five,paoja na form 6.Tunatangazakutakuwa na Solving,exams,na mafunzo kwa vidato vyote kwa somo la geography chini ya mwalimu mwenye Degree ya somo hilo aliyebobea katika somo la geography!WHEN YOU'RE WITH US...
Talented brothers Academy ni center inayotoa mafunzo kwa QT,Re-sitters,Pre-form five,paoja na form 6.Tunatangazakutakuwa na Solving,exams,na mafunzo kwa vidato vyote kwa somo la geography chini ya mwalimu mwenye Degree ya somo hilo aliyebobea katika somo la geography!WHEN YOU'RE WITH US COUNT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.