Recent content by GeofK

  1. G

    Beautiful ones live shorter

    Nilipita naye ndotoni
  2. G

    Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

    Huu uzi uendelee hadi mshahara wa mwezi july ndio mtapata majibu mazuri sana
  3. G

    Machimbo ya bata mikoani kwa mnaosafiri leo

    Sumbawanga ni adimu
  4. G

    Kwa hili: Nawapongeza mashabiki wa simba na walinzi wa uwanja wa Taifa kwa ubaya ubwela waliowafanyia waarabu leo

    Goli la Yanga lilifungwa dakika ya ngapi? Na ziliongezwa dakika ngapi ktk mechi hiyo?
  5. G

    Mashabiki wa Simba wang'oa viti uwanja wa Taifa baada ya mechi ya SC sFaxien

    Waje Nelson Mandela huku Sumbawanga
  6. G

    Wanaume jiandeni jinsi ya kuishi na wake zenu wakifika umri wa miaka 40 kwa 50

    Hata mimi iko hivo, sema ye ana 36 mimi 37,,, lakini maisha ya ndani ni sarakasi sana
  7. G

    Wanaume jiandeni jinsi ya kuishi na wake zenu wakifika umri wa miaka 40 kwa 50

    Mbona hizo mambo mi nakutana nazo,,, nina miaka 37, na wife 36,,, ki ukweli ndoa kwangu ni chungu sasa hivi
  8. G

    Mapenzi ya kweli bado yapo?

    mapenzi ya kweli yapo, na pia hayapo,,,pata mpenzi ukiwa na pesa halafu baada ya miaka kadhaa upepo uende vibaya na uishiwe, na wakati huo mkeo au/mumeo ndio awe na pata kubwa.... Hapo ndio utagundua kuwa mwenza wako ana mapenzi ya kweli au ni tapeli
  9. G

    Ninavyodhibiti gharama za umeme

    60k Bado ni gharama kubwa sana
  10. G

    Proxima centauri : Nyota ya karibu kabisa yenye eneo linaloweza kussport uhai

    Kwa sasa naishi huko Proxima centauri, maisha huku ni kama sinema huko ktk dunia yenu
  11. G

    Mary Emmanuel Mollel: Usalama wangu uko hatarini baada ya kumfungulia kesi ya madai msanii Marioo

    Daaah, mambo makubwa na yanatisha sana ktk maisha... Mil 15.5 imesababisha vifo vya watu 2, mbona mbaya sana hii
Back
Top Bottom