Recent content by GeofK

  1. G

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

    Yawezekana Nina mitazamo miwili kuhusu mtazamo wako. 1. Binadamu wa kwanza aliishi Afrika, na ndio ktk kuhama hama wakawa Wana evolve kwenda ktk muonekano tofauti. 2. Yawezekana hata huko makwao binadamu alitokea ktk huohuo muonekano wao, yaani wazumgu walitokea huko huko maulaya, wachina...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia, ni kawaida mtu kuopoa demu siku ambayo mzazi wake amefariki?

    Yawezekana ni kweli,,, nikiwahi pata demu siku ya msiba wa baba yangu,,, lakini sikuendelea naye kabisa
  3. G

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

    Binadamu mwenye muonekano kama wa wewe ndio huyu ana miaka 300K, huko nyuma tulikuwa na muonekano mwingine, lakini kutokana na evolution ndio taratibu mabadiriko hufanyika, na hata binadamu wa miaka 300k+ huko mbele hata kuwa kama wewe huyu
  4. G

    JamiiForums Tanzania Beautiful ones live shorter

    Nilipita naye ndotoni
  5. G

    JamiiForums Tanzania Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

    Huu uzi uendelee hadi mshahara wa mwezi july ndio mtapata majibu mazuri sana
  6. G

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya bata mikoani kwa mnaosafiri leo

    Sumbawanga ni adimu
  7. G

    JamiiForums Tanzania Kwa hili: Nawapongeza mashabiki wa simba na walinzi wa uwanja wa Taifa kwa ubaya ubwela waliowafanyia waarabu leo

    Goli la Yanga lilifungwa dakika ya ngapi? Na ziliongezwa dakika ngapi ktk mechi hiyo?
  8. G

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba wang'oa viti uwanja wa Taifa baada ya mechi ya SC sFaxien

    Waje Nelson Mandela huku Sumbawanga
  9. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume jiandeni jinsi ya kuishi na wake zenu wakifika umri wa miaka 40 kwa 50

    Hata mimi iko hivo, sema ye ana 36 mimi 37,,, lakini maisha ya ndani ni sarakasi sana
  10. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume jiandeni jinsi ya kuishi na wake zenu wakifika umri wa miaka 40 kwa 50

    Mbona hizo mambo mi nakutana nazo,,, nina miaka 37, na wife 36,,, ki ukweli ndoa kwangu ni chungu sasa hivi
  11. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya kweli bado yapo?

    mapenzi ya kweli yapo, na pia hayapo,,,pata mpenzi ukiwa na pesa halafu baada ya miaka kadhaa upepo uende vibaya na uishiwe, na wakati huo mkeo au/mumeo ndio awe na pata kubwa.... Hapo ndio utagundua kuwa mwenza wako ana mapenzi ya kweli au ni tapeli
  12. G

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Brazil na Marekani zilivyoficha Siri ujio wa Aliens

    I am also an allien
  13. G

    JamiiForums Tanzania Ninavyodhibiti gharama za umeme

    60k Bado ni gharama kubwa sana
Back
Top Bottom