mapenzi ya kweli yapo, na pia hayapo,,,pata mpenzi ukiwa na pesa halafu baada ya miaka kadhaa upepo uende vibaya na uishiwe, na wakati huo mkeo au/mumeo ndio awe na pata kubwa.... Hapo ndio utagundua kuwa mwenza wako ana mapenzi ya kweli au ni tapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.