Jamani wala msilumbane kuhusu kazi zinazoitaji watu wa dini furani tu kwani huwa wana maana tena ya msingi sana.kwa mfano tuangalie kazi ambayo wanataka muslim tu,ikiwa ww ni mkristo unataka kazi ambayo umeshaambiwa anatakiwa muslim itakupa shida sana coz kuna wakati wenzio wa swala tano...
Wakuu hope wazima wote,naomba kujuzwa kama kuna uwezekano wa kutumia program yoyote ya kutambua location ya namba ya simu ya mkononi endapo mtu hatumii smartphone.
kabla hujaamua usome course gani angalia kwanza ww mwenyewe unapendelea nini? Then ndo ufanye maamuzi kulingana na ushauri.Naomba nianze na Procurement a.k.a wizi wa kisomi.Hii course ni nzuri hasa pale ambapo utapata ajira serikalini au ktk mashirika ya umma kwani mishahara yake si mibaya sana...
Ni kweli suala la ajira limekuwa tatizo kubwa sana juzi nimekutana na rafiki yangu alimaliza mwaka 2010 mpaka leo yupo nyumbani na umri unazidi kwenda.Mpaka roho ikaniuma na kujiuli kila mwaka kuna graduate wapya na kila chuo kinatoa watu si chini ya 50 kwa kila course sasa sijui inakuwaje hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.