Nifanyeje ili nikimaliza masomo nipate ajira?

Nifanyeje ili nikimaliza masomo nipate ajira?

king90

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
368
Reaction score
222
Wakuu habari,naombeni ushauri wa kimawazo hapa-:mimi ni mwanafunzi wa taasisi moja hapa dsm nasoma degree ya procurement mwaka wa pili kila nipitako naona watu wanaangaika kuhusu suara la ajira,sasa basi naombeni ushauri ni nini naweza kukifanya kwa sasa kinachoweza kikanisaidia baadae baada ya kumaliza chuo ili niwe na uwezo wa kupata senti mbili tatu.
NB-Ninapoishi napata internet ya kutosha so hata kama una ushauri wa kuhusu online activities let me know your advice.
 
GPA au chuo havina msaada sana cha msingi hapo pamoja na kusoma kwa bidii pia anzisha biashara ya mpesa/airtel money/tigo pesa ili unapoondoka una mtaji japi milion moja ya kuanzia mtaani!kwakweli hali si shwari mtaani hata ukiwa na GPA kubwa
 
Anza kujipendekeza kwa Watu
wanaofanya kazi sehem nyeti
km

NAO
TRA
BOT
TCRA
SUMATRA
MAMBO YA NJE
WIZARA YA FEDHA

hawa ndo wanaweza kukushika
mkono wakati unapomaliza shule
yko.
Hata km GPA yko ndogo.

Now days Network ina Mata
kuliko GPA
 
Ni kweli suala la ajira limekuwa tatizo kubwa sana juzi nimekutana na rafiki yangu alimaliza mwaka 2010 mpaka leo yupo nyumbani na umri unazidi kwenda.Mpaka roho ikaniuma na kujiuli kila mwaka kuna graduate wapya na kila chuo kinatoa watu si chini ya 50 kwa kila course sasa sijui inakuwaje hapo na sie mwakani ndo twaja ukiachilia mbali wale wanaokuja kesho kutwa.

"Mungu tusaidie vijana"
 
mdanganye

Amdanganye nn?? Ni kweli soma upate GPA nzuri itakusaidia sana, utakuwa na nafasi kubwa ya kuitwa interview, hivyo kwenye interview usivuruge, u have to prove yourself you worthy the position....usikatishwe tamaa na mtu aliyepata gpa ndogo.
 
Anza kujipendekeza kwa Watu
wanaofanya kazi sehem nyeti
km

NAO
TRA
BOT
TCRA
SUMATRA
MAMBO YA NJE
WIZARA YA FEDHA

hawa ndo wanaweza kukushika
mkono wakati unapomaliza shule
yko.
Hata km GPA yko ndogo.

Now days Network ina Mata
kuliko GPA

hili na mimi ndo nlitaka nimshauri,huu ndo ushauri mzuri,jtahd tengeneza network,fahamiana na watu potential,pia wawe ni ma HR(HUMAN RESOURCE OFFICERS),watakusaidia sana,ukimalza shule hutopata shda!
 
Ukiwaza kusoma ili uajiriwe wajidanganya bure.
Nakushauri ifuatavyo: kama unapata boom tumia kidogo save kingi (mchana chai mkate, usiku dona la mjasi).
Ukimaliza chuo anzisha biashara yako ambayo una plan nayo sasa. Kama unaweza kusoma huku ukirunisha biashara fanya hivyo.
USIWAZE SANA KUAJIRIWA COZ AJIRA HAZIPO NA WATU HAWAFI NA KAMA HUNA GOD FATHER, SAHAU KUAJIRIWA TZ.
 
Wakuu habari,naombeni ushauri wa kimawazo hapa-:mimi ni mwanafunzi wa taasisi moja hapa dsm nasoma degree ya procurement mwaka wa pili kila nipitako naona watu wanaangaika kuhusu suara la ajira,sasa basi naombeni ushauri ni nini naweza kukifanya kwa sasa kinachoweza kikanisaidia baadae baada ya kumaliza chuo ili niwe na uwezo wa kupata senti mbili tatu.
NB-Ninapoishi napata internet ya kutosha so hata kama una ushauri wa kuhusu online activities let me know your advice.

Wewe kwa sasa komaa na mambo yanayokukabili. Soma kwa bidii zako zote upate GPA nzuri ili uwe kwenye nafasi nzuri ya ku meet vigezo fulani fulani vya ajira au elimu ya juu zaidi. Hata kama utaamua kujiajili mwenyewe unajukumu la kusoma sana upate scores nzuri.
 
Amdanganye nn?? Ni kweli soma upate GPA nzuri itakusaidia sana, utakuwa na nafasi kubwa ya kuitwa interview, hivyo kwenye interview usivuruge, u have to prove yourself you worthy the position....usikatishwe tamaa na mtu aliyepata gpa ndogo.

Ni kweli kabisa cha kwanza ni kuwa na gpa nzuri.ikumbukwe kuwa gpa kubwa haiwezi kukunyima kazi bt gpa ndogo inaweza kukunyima kazi hata km unajua. Hii ni kwa sababu kwa sasa wahitimu ni wengi sana hivyo katika kukabiliana na hilo ni lazima waajiri wataendelea kutumia gpa km kigezo cha kwanza cha kuitwa kwenye interview
 
Ngoja uone kama hiyo GPA ataipaka blue band asubuhi anywee chai!

Usipotoshe bana. Assume ndo mwanao, utamshauri asisome kwa bidii na kupata GPA nzuri? Sasa unataka akae tu asisome? Kutengeneza network ya kuja kupata ajira hakumzuii mtu asisome ili apate GPA nzuri.
 
Ukiwaza kusoma ili uajiriwe wajidanganya bure.
Nakushauri ifuatavyo: kama unapata boom tumia kidogo save kingi (mchana chai mkate, usiku dona la mjasi).
Ukimaliza chuo anzisha biashara yako ambayo una plan nayo sasa. Kama unaweza kusoma huku ukirunisha biashara fanya hivyo.
USIWAZE SANA KUAJIRIWA COZ AJIRA HAZIPO NA WATU HAWAFI NA KAMA HUNA GOD FATHER, SAHAU KUAJIRIWA TZ.

Uko sahihi kuhusu kuanzisha biashara bt haupo sahihi unaposema eti kupata ajira ni kazima uwe na god father. Huo ni uongo kabisa coz nimeshuhudia mwenyewe watu including me wakipata kazi nzuri kabisa bila kuwa na hao na god father. Nakubali kuwa hilo swala lipo na juna watu wanabebwa bt sio lazima mtu awe na god father. Ukiwa vizuri kwenye fani yako ni lazima utapata kazi tu. Zipo nafasi ambazo zinamuhitaji mtu anayejua so hata km hawakujui bt as long as ww ndio unauwezo ni lazima watakupa hiyo kazi
 
Mbali na masomo yako jitahidi kujiendeleza zaidi kwa kujifunza Unafiki, Uwongo, Uwoga, Unyenyekevu, kusengenya, Ulokole kwa baadhi ya taasisi, Umbea, kujipendekeza na kujigonga sanaa... si unaona Nyalandu, Nchemba anavyo chana mawingu...Jitahidi Mdogo wangu ...
 
Nakushauri ukajitolee kaz angalau mwaka mmoja hasa za professional yako maana kazi za cku hiz experience ina matter zaid. Utaweza ku compete na weng, atleast gpa yako ianzia upper second kama ni degree. Mengine MUNGU anatenda
 
Back
Top Bottom