Recent content by Gentl

  1. G

    Report maalum: Madanguro ya kichina chanzo cha mauaji ya wachina

    Madanguro ya wahindi mengi yapo kariakoo
  2. G

    Kocha Kim ameingamiza Taifa Stars na Sub zisizo sahihi

    Kwa aina hii ya wachezaji tulio nao hatuwezi kufika popote, hawa wachezaji uwezo wao umefika mwisho hawana jipya, tujipe tu likizo ya muda ili tujenge timu imara ya taifa kuliko kutegemea miujiza kutoka kwa Samatta au Msuva.
  3. G

    Nini chanzo cha kifo cha Habibu Halahala aliyekuwa mpiga picha wa Hayati Mwalimu Nyerere?

    Na ajali hiyo ilitokea Mkoa wa Mtwara, Ndanda wilaya ya Masasi, siku hiyo Mwinyi alienda kutembelea daraja lililokuwa limesombwa na maji kutokana na mafuriko ya mvua za ya miaka ya 90 katika barabara kuu ya Mtwara-Masasi-Songea.
  4. G

    Hiki kisasi alicholipiza Baba wa mtoto aliyechinjwa mtoni, kilikuwa cha kikatili sana

    Halafu wakiwa wanaongea unaweza kuwachukulia poa,lakini visasi vyao ni balaa!!
  5. G

    Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

    Ni kweli kabisa, hao wengine wanakuwa wameegesha tu sio wahudumu, wakipata danga au mchongo wowote wanasepa
  6. G

    Miguna Miguna awe makini sana

    Anachokitafuta atakipata!!
  7. G

    Vijana wenzangu tutafute hela, Rafiki yangu kaandikiwa SMS hii na mpenzi wake

    Kweli, kwanza nimejiuliza ni kazi gani hiyo anayoifanya mpaka alilie malipo kiasi hicho?!!
  8. G

    Wasanii wamjia juu Fid Q kwa kufanikisha Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki wote Tanzania

    Mbona Master J ulimtaja kwenye post yako ya kwanza
  9. G

    Ukiwa una pesa Tanzania, hakikisha wafuatao...HAWAJUI

    Hao ndo wakukaa nao mbali kabisa
  10. G

    Wahudumu wa baa wana maisha mazuri kuliko waajiriwa wengi

    Ila hii ishu ya wahudumu kupenda kuagiza vinywaji vya bei ghali nimeanza kuielewa kupitia uzi huu, siku hizi imekuwa tabia bar zote za mijini ukimpa ofa ya kinywaji binti usitemee aagize serengeti lite au castle lite!!.
  11. G

    Tukumbushane tukio la Ujambazi pale Ubungo Mataa mwaka 2006

    Alienda kuchukua kwa maaskari wenzake wanaolinda pale NBC Ubungo branch
  12. G

    Mliokula chumvi tusaidieni haya mambo sisi vijana

    Walikuwa wanadai uwepo wa serikali tatu, yaan serikali ya Tanganyika, JMT na SMZ
Back
Top Bottom