Sasa hivyo ndio vitisho?,afu unajidai huogopi?,yani udaku wa chatting za washikaji kwenye magroup dio unakuhangaisha mpaka unatafuta public sympathy kwenye mtandao?, maneno mengi unajitapa huogopi kumbe walewale tu mwanaume wa kibongo wanaoshinda Jim afu wanaogopa mbwa mwitu!.polisi ya wapi...