Recent content by GENIUS_BANK

  1. GENIUS_BANK

    DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

    ni kweli yericko hicho ulichokisema sio tetesi. stakabadhi za benki ya stanbic na akaunti moja ya mkombozi, vimebanwa.lakini cag alivielezea wazi kwa PAC na wakakubaliana raisi asiwajibishwe sasa kwani ni balaa na mkasi kwa nchi yeyote anaefanya hivyo.sasa kinachoendelea bungeni ni nani atolewe...
  2. GENIUS_BANK

    Kikao cha CCM mchana huu Dodoma!

    uwwiii..
  3. GENIUS_BANK

    Escrow: Je, Watanzania ni ignorant au tumelogwa? Tuache cherry-picking kutafuta Mbuzi wa Kafara!

    wewe hizo pesa za kwenye escrow account prof.benno ndulu ambaye ni gavana alishashtukia mchezo na alitaka executive order kutoka ofisi kuu ikulu na raisi ndiye aliyetoa executive order.jamani hamsikii hata nyaraka zinazosomwa kuna zingine zimezuiwa ili kumlinda raisi alie juu ambae ndie mwizi...
  4. GENIUS_BANK

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Kwa kikao cha leo bungeni na ukipima kwa weledi kabisa,prof. Sospeter Muhongo haponi. Facts & figures=hasara aliyoisababisha tangu amechukua wizara. 2. Majibu yake ya upotoshaji na uongo wa hali ya juu akionyesha kufurukuta. Prof. Muhongo ni lazima afilisiwe,ni mtu muongo sijapata kuona tangu...
  5. GENIUS_BANK

    Hakuna atakayeachia ngazi sakata la Escrow

    mshenzi wewe.umetumwa kutakatisha wezi kama wenzako wengine wanavyofanya bungeni. akaunti moja ya mkombozi waliogawania kwa ujumla majina yake hayajaletwa ila bank statement imeonesha uwepo wa akaunti hiyo na transactions. pia miamala na majina iliyofanyika stanbic haijawasilishwa.hakiyamungu...
  6. GENIUS_BANK

    Kumbe Kikwete ndie aliehamrisha Pesa za ESCROW zitoke, tusipoteze muda, kuna giza hapa

    balaa. TAKUKURI,TRA ,CAG wamefanya kazi yao kitaaluma na sio siasa.PAC ni kamati iliyoundwa na wabunge wa vyama mbalimbali ikiwamo ccm. na PAC sio upinzani.ni kamati ya kudumu ya bunge. Raisi,waziri mkuu,mawaziri na ripoti hizo zote pamoja ni ukweli mtupu lakini picha hili zima ni raisi,waziri...
  7. GENIUS_BANK

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    balaa. ni kweli lowasa,mengi na wengineo wanaweza kupika njama dhidi ya prof.muhongo na wengineo kutokana na chuki binafsi za kimaslai. lakini,ripoti ya PAC ni ripoti iliyotokana na TAKUKURU,CAG na TRA. na PAC haijaundwa na chadema bali ni mkusanyiko wawabunge ikiwamo ccm na wengineo...
  8. GENIUS_BANK

    Kishindo IPTL: Yahofiwa Pinda atajiuzulu

    hali ni tete. ee mungu washa taa yako tuwaone wadudu wakali nyoka,simba n.k tuwauwe mara moja mauti kama yale ya mwanao yesu kristo yaliyoyupatanisha na nafsi yako mungu.AMEN
  9. GENIUS_BANK

    Kelele za UKAWA na ukimya wa wananchi walio wengi

    njoo nikutekenye na wewe ucheke.
  10. GENIUS_BANK

    Ni lini rais Kikwete alizindua na kumeza Vidonge vya Mabusha?

    jipange sasa. usishangae mnara wako ukaacha kusoma 3G
  11. GENIUS_BANK

    Kelele za UKAWA na ukimya wa wananchi walio wengi

    njoo nikutekenye na wewe.
  12. GENIUS_BANK

    Kelele za UKAWA na ukimya wa wananchi walio wengi

    kazi kwenu watanzania. mimi ninanguvu za kiuchumi na ninanguvu zakielimu lakini hiyo ni ndogo,ninanguvu kubwa ya ushawishi na kutekenya pale pasipotekenyeka. japo mambo yangu yote ni halali na jasho halisi. hii ndo dawa ya tanzania na dawa ya dunia ya sasa. kazi kwenu wakereketwa na walala...
  13. GENIUS_BANK

    Kelele za UKAWA na ukimya wa wananchi walio wengi

    tanzania ni nchi yenye uvumilivu na sio amani wala upendo,hii inachangiwa na asilimia kubwa ya watanzania wasio na elimu na kukosa taarifa/kutokuwa na taarifa hasa kutokana na mipangilio,njama za chama tawala. mpaka sasa ni kweli ccm kimechokwa na hata mimi ninaunga mkono kiachie ngazi lakini...
Back
Top Bottom