MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 402
Wanajamvi,
Mimi Leo Nimemeza Vidonge Wanavyosema Vya Kuzuia Matende Na Busha.Nilienda Zahanati Kwa Shida Tofauti Nikakuta Nesi Amekaa Na Makopo Mengi Ya Dawa,kama Ilivyo Kawaida Yangu Huwa Sipitwi Na Jambo,nikamtupia Swali Kwanini Amezungukwa Na Makopo Ya Dawa.
Akanijibu Ni Dawa Za Chanjo Ya Matende Na Mabusha,nikauliza Bei Nikaambiwa Ni Bure,na Kwakuwa Nilikuwa Na Maji Mkononi Nikamwambia Anipe Na Mimi,nesi Akanipima Urefu,akanipa Vidonge Vidogo Vidogo Vitatu Na Kingine Cha Pinki Akaniambia Kuzuia Minyoo.
Nikaondoka, Sasa Nimerudi Mtaani Nimewaambia Nipata Kinga Ya Matende Na Mabusha Nikawataka Na Wao Waende,wamenicheka Wamesema Nimejipunguza Nguvu Za Kiume, Sasa Amani Imetoweka Moyoni,na Nimejiuliza Kuhusu Ukweli Huo,nimeingiwa Na Mashaka Maana Rais Kikwete Na Viongozi Wa Serikali Sijawaona Kuzindua Kampeni Hii Kwa Kumeza hivyo Vidonge,mbona Wakizindua Gari Au Barabara uzijaribu?Mbona Kampeni Hii Sijamsikia Rais Akimeza Vidonge Hivi?
Mimi Leo Nimemeza Vidonge Wanavyosema Vya Kuzuia Matende Na Busha.Nilienda Zahanati Kwa Shida Tofauti Nikakuta Nesi Amekaa Na Makopo Mengi Ya Dawa,kama Ilivyo Kawaida Yangu Huwa Sipitwi Na Jambo,nikamtupia Swali Kwanini Amezungukwa Na Makopo Ya Dawa.
Akanijibu Ni Dawa Za Chanjo Ya Matende Na Mabusha,nikauliza Bei Nikaambiwa Ni Bure,na Kwakuwa Nilikuwa Na Maji Mkononi Nikamwambia Anipe Na Mimi,nesi Akanipima Urefu,akanipa Vidonge Vidogo Vidogo Vitatu Na Kingine Cha Pinki Akaniambia Kuzuia Minyoo.
Nikaondoka, Sasa Nimerudi Mtaani Nimewaambia Nipata Kinga Ya Matende Na Mabusha Nikawataka Na Wao Waende,wamenicheka Wamesema Nimejipunguza Nguvu Za Kiume, Sasa Amani Imetoweka Moyoni,na Nimejiuliza Kuhusu Ukweli Huo,nimeingiwa Na Mashaka Maana Rais Kikwete Na Viongozi Wa Serikali Sijawaona Kuzindua Kampeni Hii Kwa Kumeza hivyo Vidonge,mbona Wakizindua Gari Au Barabara uzijaribu?Mbona Kampeni Hii Sijamsikia Rais Akimeza Vidonge Hivi?