Dada angu anafanya kazi bodi nmemuelezea kasema, haina shida ila wanachokua nacho makini ni jinsi ulivyojaza online. kama umekosea hata herufi io haitachukuliwa kwanza ila kuhusu peni ondoa shaka. unaeza kwenda kwa wakili akawa na bluu kwa mwenyekiti akawa na nyeusi huezi kimbia dukan kununua...
Wakuu, kuna hali ya kuchanganya.. kati kile kipengele cha kuambatanisha cheti cha form 6.. wapo wanaosema kua waliomaliza mwaka huu wanatuma ivoivo na wapo wanaosema una ambatanisha result slip. msaada kwa mwenye uhakika na hili.. [emoji120]
Hakuna benki a/c inayoitajka saiv. kama utabahatka kupata mkopi then ac. yako wataichukua chuonii.. Acount ni ile uliofungua ukaanza kujaza io ndo ac yako nw.. ukubwa wa picha ni 1mb needed upload kabisa, mwaka huu ni tofauti na mwaka jana walibandika
Hahaha.. Lipia tena ulog in bro.. cz uki ipeleka ivoivo.. utakosa mkopo n utatolewa kwenye listi ya watu waliokosea.. kubali kuingia hasara cz hamna editing ukisharuhusu kuprint
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.