Recent content by Genius Messi

  1. G

    Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

    huwa siwaelewi takukuru eti mpaka waambiwe chunguzeni!
  2. G

    Nilisema Tz tuachane na vyama vya siasa

    Kabla ya wimbi la hama hama nilishauri tuachane na siasa hasa hivi vyama, badala yake tujikite kwenye kuijenga nchi. Nahisi vyama vina gharama kubwa kuvi*run pesa (zikiwamo ruzuku) ambazo hugawiwa vyama husika zingeelekezwa kwenye afya na elimu. Bado nina imani tukiwa na katiba nzuri Bunge...
  3. G

    Nyongeza ya mshahara ya 6,600/= ni dharau kwa wafanyakazi

    bora ingekua hata 66000/-
  4. G

    Nashauri tuwe na serikali tusiwe na vyama

    tukiondoa vyama hata mshikamano na umoja utakuwepo bungeni,taaluma sasa zitatumika kwa maslahi ya taifa zima..na si chama
  5. G

    Nashauri tuwe na serikali tusiwe na vyama

    Ni mawazo tu kua ili kupata maendeleo ya haraka tungeachana na siasa hii ikiwa nipamoja na kuweka pembeni vyama vya siasa. Kwani ni lazima tuwe na vyama ili kuwa na serikali? Ninavyoona vyama vinaturudisha nyuma na kutumika pesa nyingi na mwisho wa siku tunaishia kulumbana na kushindwa...
  6. G

    Serikali kuanza kutoa kinga ya VVU mwakani

    kinga ya malaria ingependeza zaidi
  7. G

    Kabla ya kodi za nyumba tungeanza na ada elekezi

    Serikali kujipanga kuanza kwa mamlaka ya nyumba ni mpango mzuri utakao punguza makali ya maisha kwa watanzania wengi, hatua ya kupongezwa. Lakini pia ingekua vizuri wangeanzia kwenye ada(fees) kuangalia upande huo kuanzia nursery hadi vyuo vikubwa watu binafsi wamekua wakijipangia viwango vya...
  8. G

    SUMATRA: Marufuku abiria kuzungumza siasa, dini, biashara ndani ya basi!

    ni wale wale waliozuia bunge live tusubiri makatazo mengine zaidi
  9. G

    Nani mmiliki wa jengo la TANESCO Ubungo?

    nahisi itakua la mh Nyalandu
  10. G

    TBT: Elizabeth Michael Lulu na Marehemu Steven Kanumba

    Ona kalikua bado 00-Kms...aisee dhambi na hili atalijibu Marehemu siku ya hukumu
  11. G

    TBT: Elizabeth Michael Lulu na Marehemu Steven Kanumba

    kwa picha hii tu ni dhahiri tosha marehemu alikua anakiuka misingi...alimuharibu huyu mtoto...pengine ndiye alisanabisha hata asifikirie kwenda college..akamuingiza ktk maisha ya utumwa wa mapenzi akiwa na umri mdogo sana!steve alikua na hatia
  12. G

    Tupia Avatar Unayoiona Inakuvutia, Inakushangaza, Inakuchekesha e.t.c

    hakika mungu ametuwekea mtihani mkubwa sie wanaume kwa style hii...katupatia haswa...dada yuko vzr aisee
  13. G

    Elizabeth Michael(Lulu) akutwa na hatia ya kuua bila kukusudia, ahukumiwa kwenda jela miaka 2

    angepewa kifungo cha nje kama akina Yona afagie hospital hii nahisi ingependeza zaidi..
  14. G

    Elizabeth Michael(Lulu) akutwa na hatia ya kuua bila kukusudia, ahukumiwa kwenda jela miaka 2

    nashangaa unaanzaje anzaje kumnyonga mrembo mbichi kama yule? hebu rejea nyimbo ya aslay natamba...
Back
Top Bottom