Wahitimu wa taaluma ya udaktari tunapenda kuwasilisha hoja kuhusu changamoto inayojitokeza katika mchakato wa upatikanaji wa leseni za udaktari nchini.
Kumekuwa na malalamiko kwamba Baraza la Madaktari Tanzania huchukua muda mrefu zaidi ya ilivyotarajiwa kutoa matokeo ya mitihani kwa wahitimu...
Nahisi amemaanisha matokeo ya mtihani(kwa maana ya results), kwenye tovuti yao wanasema ni siku 30 lakini watu wanasubiri kwa zaidi ya siku 90, ukiangalia huwezi kuomba kazi yoyote kama huna leseni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.