Recent content by Generalkaduma

  1. Generalkaduma

    Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

    Tunamshukuru #Mungu kwa kurudi ukiwa hai, Watanzania tuendelee kuwaombea na wengine wawe salama huko waliko ili siku moja warudi salama. Tuendelee tupaza sauti kwa namna yeyote ile. Thanks God for being back Alive but ask to #BringOtherAgailWhileAlive, #BenSaanane,#AzoryGwanda, #SimonKanguye at el.
  2. Generalkaduma

    Nimerudisha fomu za kugombea ukatibu mkuu BAVICHA taifa

    Poleni na harakati makamanda. Leo nimerudisha fomu ya kugombea UKATIBU MKUU-BAVICHA TAIFA.Nawashukuruni nyote ambao mnaendelea kunitia Moyo na kunitakia mafanikio katika kuja kuliongoza BARAZA hili ambalo ndo nguzo kuu kwa Chama chetu(CHADEMA) katika kufikia lengo kuu la kushika DOLA...
  3. Generalkaduma

    Vurugu za polisi mpaka wa Sirari

    Polisi wameua raia, Kuna fujo kubwa sana inaendelea hapa sirari kati ya polisi na raia.
  4. Generalkaduma

    Graduation of chadema students organization(chaso).

    Tangazo Tangazo: Chadema Students Oganisation (CHASO) mkoa wa Dar. wanakualika kwenye sherehe za MAHAFARI ya kuwaaga wana Chaso mwaka wa mwisho vyuo vikuu vya Dar. Ni kesho J/pili tar 15/06/2014 katika ukumbi wa Msimbazi center kuanzia sa 3:0 asbuhi. Mgeni rasmi atakuwa ni Mabere Malando...
  5. Generalkaduma

    Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

    amina ngalo. Ona hata aibu wananchi wanaona unachopindisha.je unataka wananchi waendelee kuibiwa na kuteseka?
  6. Generalkaduma

    Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

    amina ngalo. Ona hata aibu wananchi wanaona unachopindisha.je unataka wananchi waendelee kuibiwa na kuteseka?
  7. Generalkaduma

    Hongereni mashekh kuungana na ukawa,maaskofu nanyi ungeni kwa vitendo

    kishime kamuulize kikwete kama anamazo kama yako
  8. Generalkaduma

    Kumekucha UKAWA Songea!!

    safi wakuu
  9. Generalkaduma

    Anguko la CHADEMA lipo njiani

    wewe mwigulu ndo viongozi sahihi.chiz mkubwa
  10. Generalkaduma

    Uongozi bora si wa mabavu watanzania tunajua

    Wakoloni weusi wa pili hapa tz tunajua wana polisi, usalama wa taifa, tra na fedha zetu wananchi wanazitumia kuhakikisha wanadidimiza mambo hata wafanyabiashara, wanawahonga wengine wanaojitoa ufahamu hata kuwaua wengine baada ya hapo wanaunda tume ambazo hadi leo tume hizo hazijaleta majibu...
  11. Generalkaduma

    Fikra na Mtazamo wa Andrew Kambarage Nyerere Kuhusu Itikadi za CHADEMA

    Muwe mnawaonea watu wengine huruma muda wao katika uelewa bado maana hata kwa wale wanaovuta sigara husema stimu zinapanda taratibu muda ukifoka watatufuata na kujiunga,hawajaona mabaya kutokana na uelewa kiinchi, tumetangulia mtatukuta.....?
  12. Generalkaduma

    Chuo cha tumaini tawi la dar es salaam kufanya uchaguzi wa viongozi wa chadema tar.16.3.2013

    Breacking newsssss......!!! Hallow taarifa kwa wanachama,na makamanda wa chamanda kutakua na uchaguzi mwezi wa tatu tarehe 16.03.2013 siku ya jumamosi.wanachama kwa anahitaji kuwa kiongozi fomu za kugombea zipo tayari pata haki ya kikatiba.kwa maelezo zaidi ingia kundi (group) la facebook...
  13. Generalkaduma

    Karibuni sana watanzania wote chadema:

    karibuni sana watanzania wote:- chadema, peoplesss… power. Tuungeni mkono, tuchagueni, tupeni fursa muone tukishindwa tupigeni chini. Tusije laumu kwa mara nyingine maisha magumu wakati falsafa yao walisema maisha bora kwa kila mtanzania haipo. Naamini mtu kuwa chama fulani si kosa maana huenda...
  14. Generalkaduma

    Niandike maneno gani kwenye bango langu kuelekea Jangwani kesho?

    m4c......vua gamba, tema sumu zako then vaa gwanda, vua ukada uwe kamanda ndani ya viwanja vya jangwani dar leo kuanzia saa saba mchana, wahi uungane na ujionee jinsi chadema ikiongozwa na mbowe,dr. Slaa, heche(bavicha-taifa), chaso's will be there na wengine wengi wakiinjilisha vilivyo ujue...
  15. Generalkaduma

    Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

    john lameck saidia kutupa data za huyu L. lusinde.
Back
Top Bottom