Recent content by Gendelichuma18

  1. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Dkt. Godwin Mollel, askari wa mwavuli aliyechukizo machoni pa wafuasi na wanachama wa CHADEMA

    Walevi wakikutana hujiona hakuna aliyeyapatia maisha Ila wao, cha ajabu asubuhi wanaanza kupiga mzinga hata hela yaa supu, hivi akili zao unawezaji kumpa sifa mtu kama huyo!? Hamnazo! Yaani yule nati tu moja.
  2. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania CCM ilianza kuumba kwa ulimi tangia 2016 lakini wapinzani hawakuelewa. Maneno "Tanzania ya kijani"

    Zero analysis, mpango wowote lazima upite kwenye uhalisia wa mpango kazi wenyewe, Sasa ccm ya kijani kwa kuiba kura? ccm ya kijani kwa kutumia dola? ccm kijani kwa tume charles mahera? Kimsingi mpango wa ccm ya kijani ulikuwa wa kwenyee makaratasi tu, hakuna kilichotekelezwa.
  3. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania GE2020 Je, Unaweza kupita Ubungo Interchange usiseme asante Magufuli? Mtakubaliana na mimi, asante stahiki ni kura zote kwa Magufuli

    Ni wewe au mwingine? Umetishwa kiasi hiki? Umeshikiwa akili?
  4. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kusipokuwa na uchaguzi wa kuchagua Rais kuna haja ya kufanya uchaguzi?

    Kuna mtu hapo unamuogopa kumtaja, huyo mtambo wa atomic, ccm mpaka sasa wameshakaa vikao visipopungua 1000 tangu ametangaza nia ya kugombea, siku ile ametangaza tu nia wakaibuka na kesi ya mwaka 2016 hii inaonesha ni kwa kiasi gani wamepagawa. Hawana mwanasiasa wao wana field marshal.
  5. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Mbowe asingekuwa na kiburi angeomba kufanya 'internship' CCM makao makuu

    EPA ni jibu tosha. Kama unataka nyongeza kuna deep green, merereta na nyingine. Unapoandika jifunze kuiweka akili yako kwenye ubongo ili ueleweke, usiweke sehemu ya kukalia.
  6. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) iachane na njama za kuvuruga uchaguzi, zitaligharimu Taifa

    Chama cha mapinduzi ni waoga, tuliwaambia toka mwanzo kama kweli mtu wao anakubalika mbona figisu nyingi? Yaani wanahangaika acha, sasa wameingia time, tume bila aibu inafanya mambo ya hovyo, hapa ndipo umuhimu wa tume huru ya uchaguzi. Shit!
  7. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Tamko la wazee Chadema: Mbowe ndiye kiongozi pekee barani Afrika asiyelipwa posho wala malipo yoyote na chama chake, anajitolea!

    Tunataka TAKUKURU ifanye uchunguzi kwa ccm na viongozi wake,hofu yao ya uchaguzi isiwe kigezo cha kutumia vyombo vya dola kuhujumu vyama vingine. Kama takukuru ina nia ya dhati kusimamia fedha za vyama vya siasa Basi isioneshe upendelea wenye nia hasi, cuf tuliambiwa walitoa fedha kwenye akaunti...
  8. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Jenerali Ulimwengu: Kauli za Corona zilizotolewa na Rais Magufuli ni porojo zisizokuwa na mantiki au za kufurahisha umati tu

    Tunahitaji watu jasiri wanaoweza kumuambia mfalme kuwa umekosea bila woga,kwasbb hakuna mfalme bila watu. Mkimuogopa mfalme na akajua mnamuogopa mtaumua,atawapeleka atakavyo. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Ndugai amezidi kumsemea Magufuli, unaweza kudhani yeye ndiye msemaji na mteteaji wa Rais Magufuli!

    Ni sahihi,kasahau kuwa yeye ni spika anaongoza muhimili unaojitegemea. Kwa alivyo Ndugai anaongeza kasi ya madai ya katiba mpya, ndugai kaonesha ni aina gani ya spika tunamhitaji, kama kwa aina ya uspika wa ndugai akikaa miaka kumi basi hsdhi ya taasisi hii itapotea kabisa,kwa hakika ndugai...
  10. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

    Kichwani ana shida,pili bundle za Polepole zinawasumbua, kwasasa taifa linahitaji brain lkn yenyewe yanawaza utumbo yaliyoambiwa na Polepole,yanashindwa kutofautisha wakati Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali inaacha uvumi unaondelea kwenye mitandao uendelee?

    Dawa ya uongo ni facts Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili Freeman Mbowe ulitudanganya Watanzania

    Unaipenda ccm lkn hujatoa hoja yenye mashiko,hisia zako ndizo zinakufanya utake A iwe Q. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza!

    Sasa Pascal mbona unatuamrisha? Eti vinginevyo nyamaza, who gave you power authority? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

    Acha uoga,yaani hapa hofu ya sugu unajifanya kumshauri. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Gendelichuma18

    JamiiForums Tanzania UVCCM: Rais Magufuli ni fursa kwa Tanzania na Afrika

    Vichwa vyenu vinahitaji tiba,WB walipozuia $500 mliwaita mabeberu,walipozitoa mkawaita WB sasa tuwaelelewe vipi? Manung'ayembe! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom