Recent content by Gen Lu Bu

  1. Gen Lu Bu

    CRDB bank ikoje asee(maoni yenu jamani Sina Raha hapa)

    Nina uzoefu wa kufanya malipo ya nje kupitia bank moja (nilikua nafanya online banking). Baada ya kuwa nimeambatanisha nyaraka, siku ya kwanza huonesha status ya "warehouse" na siku ya pili jioni ndo status hubalika kuonesha pesa imetoka. Siku ya tatu napakua swift yangu natuma kwa mpokeaji.
  2. Gen Lu Bu

    Ni mwaka wa tatu nipo kwenye uadui mkubwa na wazazi wangu; siwasiliani nao wala sishirikiani nao kwa lolote

    Pole sana. Inaonesha hauna ndugu wa tumbo moja. Hii inanipa taswira tofauti juu ya uhusiano wako na wazazi. Pengine (utaniwia radhi) walikuasili kutokana na wao kutokuweza kupata mtoto (jaribu kuchunguza). Yote kwa yote, jitahidi kuwatendea wema wazazi wako hata ikiwa hawataki.
  3. Gen Lu Bu

    Naomba msaada wa tafsri ya haya maandishi

    Kwa kipande cha kwanza chenye visanduku vye namba 100, 1, 7, 200 na kuendelea kuna maneno haya "كُلَّمَا دَخَلَ عَلَیۡهَا زَكَرِیَّا ٱلۡمِحۡرَابَ وَجَدَ عِندَهَا رِزۡقࣰاۖ قَالَ یَـٰمَرۡیَمُ أَنَّىٰ لَكِ هَـٰذَاۖ قَالَتۡ هُوَ مِنۡ عِندِ ٱللَّهِۖ إِنَّ ٱللَّهَ یَرۡزُقُ مَن یَشَاۤءُ بِغَیۡرِ...
  4. Gen Lu Bu

    Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

    Uko sahihi mkuu Ila yawezekana pia. "Penye nia pana njia" Watu wazamani walisema baada ya kuona matokeo
  5. Gen Lu Bu

    Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

    Kila jambo na taratibu zake. Kuna kitu huwa nasikia watu wakiita "vetting" Kama sijalikosea.
  6. Gen Lu Bu

    Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

    Mimi sio mjuzi sana wa hii kada Ila jitahidi sifa hizi unazo orodhesha ndio hizo hizo watu wako wa karibu wanaweza kuzisema kuhusu wewe. Jitahidi watu wako wa karibu wajue taarifa zako muhimu kuhusu wewe, marafiki zako waweze kusema mazuri kuhusu wewe, marafiki wa wazazi wako waweze kutoa...
  7. Gen Lu Bu

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Bwana muhasibu inabidi aombe radhi na kusema Yanga waoneshe kwenye makabrasha yao DR: Intangible Asset ... TZS 400mil CR: Revaluation gain... TZS 400mil (to the maximum of transfer right and cost incurred to acquire transfer right of/to sign Aziz Ki).
  8. Gen Lu Bu

    Nimedondoka kwenye penzi zito na bosi wangu

    Mkishacheza game la nyoka tu, jiandae kutafuta kazi nyingine. Atakuja kukubebesha jumba bovu hutakuja kuamini zaidi ya kujipamoyo hajaondoka nayo imebaki vile vile.
  9. Gen Lu Bu

    Kiumbe kinachoitwa ‘mke’ kiogope

    Kwenye maisha haya iogope dunia na wanawake. Wanawake wanavitimbi. Na mtoa mada amebahatika kupata mwanamke mwenye vitimbi .
  10. Gen Lu Bu

    Unatumia njia gani kuwateka ukweni kwako

    Hakuna umuhimu wa kufanya hivyo. Kinachotakiwa ni heshima kuwepo baina ya mume/mke na wakwe zake. Heshima ikiwepo, malalamiko na migogoro ya ndoa itatatulika kwa heshima na nidhamu. Kuheshimiana kwa pande zote mbili ni bora zaidi ya kuwateka wakwe (aidha juu ya umasikini wao, tamaa ya vitu...
  11. Gen Lu Bu

    Pesa inavyonifanya kuwa kicheche

    Tatizo unapenda wanawake wenye muonekano mzuri (kimavazi na vitu wanavyo tumia). Ili uachanae na tabia ya kuruka ruka ni vyema utafute mwanamke wa daraja la kuendana na uwezo wako. Ukipata ambae anavyaa vitenge, vijora, anasuka kawaida na hapendi kwenda na wakati sana unaweza akatulia na wewe...
  12. Gen Lu Bu

    Kutumia Browsers mbili

    Ikiwa unamaanisha kutokuonekana kwenye taskbar, inawezekana. Kama unatumia window 10 jaribu hivi: Setting app > personalization > taskbar > select which icons appear on the taskbar > kisha turn off icons ambayo hutaki ionekane. Kama sio hicho ulicho maanisha, wajuzi watakuja kukusaidia.
  13. Gen Lu Bu

    TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

    Na elimu kwa wananchi itiliwe nguvu, wahamasishwe kutokukubali risiti ya kubebea mzigo (Kiasi cha risiti kiendane na pesa ya malipo)
  14. Gen Lu Bu

    UTAFITI BINAFSI: Urefu wa mtu(feet) Ni sawa sawa na Urefu wa uume wake( inches)

    Kichwa cha habari kizuri ila yaliyomo yanaukakasi sababu ya mbinu ya kukusanya taarifa juu ya ulicho kisema. Mathalani, ungenyambulisha katika kundi la wanaume 50 kuna warefu wangapi na wafupi wangapi. Mfano: Ikiwa 80% ni warefu, hawa watasema urefu unashabihiana kuficha kuonekana wana ukubwa...
  15. Gen Lu Bu

    Kazi[Careers] zenye future na maslahi mazuri Tanzania

    Watazania wengi wanasoma vitu kwa kuangalia urahisi wa kuajirika na sio nini mtu anahamasa nacho na uwezo wa kufanya zaidi. Na hii ndio inaumiza wasomi wengi. Elimu kubwa ila ufanisi ni mdogo sababu ya dhana ya elimu-ajira-maisha bora
Back
Top Bottom