sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,000
Ndio, kuwateka namaanisha wawe upande wako...wakukubali kuwa kweli wewe nimtu sahihi kwa mtoto wao.
Mara nyingi wanawake wanawateka mama mkwe zao hasa kwa vitenge, kanga na vijizawadi vingine vya hapa na pale. Yaani pamoja nakwamba nivitu vya kiupendo Ila vinaplay nafasi ya rushwa flani hivi.
Mwanaume ambaye mkewe kamteka mamamkwe hana ujanja wakumtesa ama kumwacha huyo mwanamke. Labda mwanamke mwenyewe ndo azingue. Utakuta mama anamtetea mkwe wake hadi kufikia hatua ya kutoa vitisho kuwa hataki kusikia kijana analeta mke mwingine zaidi ya huyo wanaye mfahamu.
Kwa wanaume wao huwa wanateka nyumba nzima ya ukweni. Yaani kuanzia wazazi hadi mashemeji.
Mwanamke utaanzaje kumletea mumeo zakuleta. Familia yenu yote itakuona mwehu usiye faa.Hapa napo labda mwanaume ndo awe na mambo yasiyovumilika.
Hali hii wakati mwingine inasababisha wanandoa kuteseka kwani unakuta Yule anyenyanyasika akipeleka malalamiko kwao anaonekana ni mwongo na pengine yeye ndo mbaya.
Kumbuka pande hizi mbili sio lazima kutekwa kwa zawadi na mali zingine,nooo....! wengine wana uwezo mzuri kiuchumi'hivyo hawaoni jipya kwenye vitu vyako. Wengine wanahitaji tu mawazo na akili yako yakimaisha basi ndo unakuwa umewateka hivyo.
Je, kuna umuhimu wakuwateka wakwe zako ili wawe upande wako in case Kuna matatizo ndani ya ndoa?
Wasalaam!
Mara nyingi wanawake wanawateka mama mkwe zao hasa kwa vitenge, kanga na vijizawadi vingine vya hapa na pale. Yaani pamoja nakwamba nivitu vya kiupendo Ila vinaplay nafasi ya rushwa flani hivi.
Mwanaume ambaye mkewe kamteka mamamkwe hana ujanja wakumtesa ama kumwacha huyo mwanamke. Labda mwanamke mwenyewe ndo azingue. Utakuta mama anamtetea mkwe wake hadi kufikia hatua ya kutoa vitisho kuwa hataki kusikia kijana analeta mke mwingine zaidi ya huyo wanaye mfahamu.
Kwa wanaume wao huwa wanateka nyumba nzima ya ukweni. Yaani kuanzia wazazi hadi mashemeji.
Mwanamke utaanzaje kumletea mumeo zakuleta. Familia yenu yote itakuona mwehu usiye faa.Hapa napo labda mwanaume ndo awe na mambo yasiyovumilika.
Hali hii wakati mwingine inasababisha wanandoa kuteseka kwani unakuta Yule anyenyanyasika akipeleka malalamiko kwao anaonekana ni mwongo na pengine yeye ndo mbaya.
Kumbuka pande hizi mbili sio lazima kutekwa kwa zawadi na mali zingine,nooo....! wengine wana uwezo mzuri kiuchumi'hivyo hawaoni jipya kwenye vitu vyako. Wengine wanahitaji tu mawazo na akili yako yakimaisha basi ndo unakuwa umewateka hivyo.
Je, kuna umuhimu wakuwateka wakwe zako ili wawe upande wako in case Kuna matatizo ndani ya ndoa?
Wasalaam!