Recent content by gekajr

  1. gekajr

    Mwenye uzoefu na njia ya kutuma maombi kwa njia ya ems msaada

    Ni shs 15,000 kwa gram 100 kwa barua za kawaida ila gharama zinaongezeka kidogo kulingana na uzito uliozidi....kwa Mjini mzigo utamfikia mlengwa siku inayofuata baada ya kuwaachia hyo parcel yako.
  2. gekajr

    Siku akikubali natangaza ndoa/ nipeni maarifa

    Muombe mtoke out, then mpeleke sehemu nzuri ambayo hata yy akifika tu mazingira ya hiyo sehemu yamvutie halafu mjue kidogo(historia yake, ndugu zake n.k) Ukimaliza hapo sasa mfungukie ya moyoni mpaka yaishe,, wakati mnazungumza agiza na misosi ya maana ale ashibe. Usilazimishe akupe jibu siku...
  3. gekajr

    Wapenzi wa gospel songs tukutane hapa

    Huniachi by reuben kigame
  4. gekajr

    Upi ni uzi (thread) bora kwako na unatamani wengine wausome?

    Uzi wa huyu jamaa anajiita Dumelang “Matumizi sahihi ya home theatre Nyumbani” ni bonge moja la uzi
  5. gekajr

    Matumizi sahihi ya Home theatre Nyumbani

    Mkuu nashukuru sana kwa huu uzi ulinipa taarifa muhimu sana za muziki mzuri,,,sahv nipo naenjoy tu na PANASONIC SC-VKX65,,,kweli jamii forum ni sehemu unaweza faidika sana kama ukiwa serious na Mambo!!!
  6. gekajr

    Mzee Musiba, kazi za Rais Magufuli zinaonekana kwa macho hata gizani

    Musibaaaaaa sasahv nitaangalia taarifa zake zote,,,naona kuna kaukweli fulani hvi kanaanza kuonekana
  7. gekajr

    Gharama za bima ya afya NHIF kwa ambao si waajiriwa wa serikali

    Kuna restriction tena kwenye matibabu baada ya kukata bima??
  8. gekajr

    iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

    Wakuu natumia i4n 6s+ lakini itune store mara zote inaniambia “cannot connect to itune” mwenye kujua hili nitashukuru kwa msaada.
  9. gekajr

    Kigezo cha kuoa mwanamke ambacho watu wengi hawakitilii maanani lakini ni muhimu sana

    kaka mimi nakubaliana kabisa na ww na ndio maana kuna wakati fulani kuna familia inaweza kuwa na watu wenye magonjwa ya akili(uchizi) na hivyo usipokua makini kujua haya waweza kuja kupata watoto machizi pia.
  10. gekajr

    Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

    Mbona Mengi,bakheresa,Mohamed dweji na aliko dangote hawachukiwi...au unawazungumzia wakina nani?
Back
Top Bottom