Pole broh.. Ila dah waandishi wa bongo bwana wakiitwa makanjanja wanamaind lijamaa limejipambanua kabisa na GIDION MASANJA
Ila halahala wasije kukununua tena ukaanza dondosha makala huko tena tukapeana kazi ya kununua migazeti ya RAI kila kukicha ni bora hata utoe vitabu tutanunua c hayo...
hii mada nlishawai kuiona hapa jukwaani kdg mtoa mada alikuwa na baadhi ya hoja zenye Mashiko ila kwa huyu wa leo naona hoja zake ni dhaifu sana sa mfano anadai Antactica ndo ukingo wa dunia kwenye flat earth sa duara gani lenye ukingo sehem moja tu.. ama hyo Atanctica imezunguuka duara...
mkuu unapoandika makala yoyote lzm uwe na source tofauti ikiwemo internet ,makala na vitabu tofauti ukiandika makala toka kichwani bila ya kuwa na source hyo inakuwa hadithi za kusadikika!
Wajinga ndo waliwao... Na hii NAMAINGO cjajua mwisho wake mana nikipita pale makao makuu yao Ukonga nakutaga bonge la shazi alaf Bi Mkubwa mwenye hyo mishe lyf lake dizain limechange ghafla hv!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.