Huo ndio ubabaisha ambao wengi wetu tunausema, ubaishaji kwenye utendaji, ubabaishaji kwenue ufatiliaji na ubabaishaji kwenye uchaguzi wa viongozi na sasa inaonekana kuna aina nyingine ya ubabaishaji "UBABAISHAJI KWENYE USIKILIZAJI"
Kama unabisha we jeuri, bible inasema mwanaume alifinyangwa na mwanamke alitolewa kwenye ubavu wa mwanaume. (Fact)Mwanaume ana misuli mingi kuliko mdada, kumiliki kundi la wanawake ni moja kati ya mambo ya kimaumbile, na kama wewe ni mwanaume na unapinga, bila shaka una matatizo, Jiangalie....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.