Zamani kweli kulikuwa na unyonyaji japo saivi wanasena wamebadilika baada ya kubanwa na serikali n watu kulalamika. Tatizo ni kuwa mwajiriwa huoni mkataba kati ya hizo kampuni mbili so huwezi jua kama unachopata unastahili au vipi.
Kwa case yangu at least mshahara ni mule mule kama niliowatajia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.