Jamani ulafi WA ccm tumweke mwalimu pembeni kwani alikua ni MTU mwenye uelewa mkubwa na mtazamo mpana kuliko wazembe watu walioko ccm Leo. Ukweli no kwamba kiongozi yupi amepata madaraka ccm Leo bila rushwa ajitokeze tumuone kama c unafiki tu
Ninachosema,CCM waache ngonjera zao,kama huna...
Mweshimiwa lie so muhumini wa EL wala Mgombea yeyote kati ya waliopo. Ila maswali yako ya kinafiki na hayajengi hoja ya kufikiri ila kutujulisha una mtu ana kusukuma
1 . Gazeti la Raia Mwema la Novemba 2010 ,liliripoti na kuonyesha picha ya nyumbaambayo familia yako inamiliki Uingereza...
Watanzania tunapenda sana kujadili watu luliko idea ili nitatizo kubwa. Na humu mnavyo changia hoja hizi kila MTU anataka mgombea wake ndo awe na sofa bora
Sija elewa shida kubwa tulio nayo watanzania wenzangu nikutaka kubembelezwa hata kwenye mambo ya msingi. Zito hana kosa kutoa hamri kama kiongozi wa kitaifa kwa wanachama wake, Makamanda tukumbuke tuko vitani mpaka tu fanikiwa vita hii ndo muanze kulaumiana na jeshini hamna polite language. Zito...
Watanzania tufikie maali tuwe makini na rasilimali za nchi yetu, kwani viongozi wetu wanapambana nazo kama vile ni mali ya wizi. Kwani kunahaja gani ya kutandika mabomba kwenda kinyerezi wakati hali ya maendeleo kusini hairidhishi na ukiangalia vijana wa kusini ndiyo machinga wanao dharaulika...
Jamani Tanzania ni mmoja milele na wote tuta pita na tuta hiacha tukubali tusikubali, hakuna haja ya kutafuta machafuko ya kidini wala kanda bali tufikirie tuta ijengaje Tanzania kwa pammoja ili watoto na wajukuu waje wajivunie nchi yao tukisha toweka. Hamini husiamini nchi hijengwi kwa vita...
Jamani siyo kibaha tu hata lindi matatizo tu, haieleweki kama usaili umefanyika wala nini. Tena ndo panahitaji uchunguzi zaidi. Naombeni namba ya magufuli tumuulize kama wasaidizi wake ana waamini kweli kwa madudu wanayo fanya.
Kaka katika hili hamna jipya kwani mie nabaki mdomo wazi kuwa nani ni msafi. Baba kaingia madarakani na EPA, siasa chafu, mtoto katajirika sekunde, mama mjumbe wa nec taifa, na bia mawaziri takribani wote maswaiba. Kwa haya yote mta tudanganya watanzania mna lengo lakujenga nchi kweli, ebu...
Watanzania tunapenda kuropoka sana bila kufanya utafiti, Mkapa ana mengi mazuri katika nchi na hata katika uchumi wa nchi walio mreplace walimchafua ila mpaka sasa wamefanya nini? kama hata fedha za epa aliziacha benki kuu ila kwete na walafi wenzake walizikomba ili wafanyie kampeni. Tuna kubali...
Nilitegemea kuona uwezo wenu kupanga hoja kama viongozi vijana wenye malengo ya kulikomboa taifa kwenye janga la viongozi uchwara kumbe nyie ndo hamna kitu.
shida yetu kubwa watanzania ni kutokua na sera safi, siasa safi, na uzalendo kwa taifa letu kwani hata hoja za msingi tuna ingiza upuuzi kuanzia mwanzo hadi mwisho. Vijana wa Tanzania tuwe makini katika mambo ya taifa na tuepukane na magonjwa tunayo ambukizwa na wazee waliyo ifilisi nchi...
Watanzania tulio wengi tuna penda kutukana bila kuchangia oja iliyoko mezani, tujaribu kuchangia hoja na pia kupunguza lawama kama watu wenye kufikiria vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.