Recent content by GEBO.

  1. G

    Oral Interview Uhamiaji

    Unaweza tupa swali mojawapo walilokuuliza mkuu?
  2. G

    Hawa ndio Freelancer wa Postal Bank

    Ukweli uliopo ni kwamba BOMU LA AJIRA LAZIMA LITALIPUKA kama hali hii itaendelea. Muda ukifika hakuna atakayezuia hata baadhi ya wanasiasa wametabiri.
  3. G

    Story of my job

    No, that cannot be.
  4. G

    Nataka kujinyonga kwa kukosa kazi

    Wapo waliowahi kupiga simu kwa ndugu na jamaa kuwa watajinyonga halafu wakafanya hivyo.
  5. G

    Hali ya ajira na idadi ya graduates ikiendelea kuwa hivi sipati picha

    Unvyosema wengine wanaona aibu kufanya baadhi ya biashara unamaana vijana waliomaliza Bachelor hata Masters Degree nao wasione aibu kuuza kashata na visheti barabarani?
  6. G

    Kuandikishwa vijana waliomaliza JKT

    Hellow guys! Naomba nitumie ukumbi huu kupata habari. Kuna askari wa JWTZ amenieleza kuwa Wilaya ya ilala inaandikisha vijana wote waliopitia JKT kwa lengo la kuwaajiri, Kama kuna mwenye uhakika wa habari hii anijulishe au kama ipo tofauti anifafanulie.
  7. G

    Hali ya ajira na idadi ya graduates ikiendelea kuwa hivi sipati picha

    Kikwete amehakikisha Ridhiwani ameajiriwa, amefanya vizuri pia ni mfano mzuri kwa graduate wooote. Mtoto wa mkulima unanishawishi nijiajiri, wakati Raisi anapambana mtoto wake aajiriwe au unadhani Raisi alikosa mtaji wakumpa mtoto wake? WENGI waliojiajiri waliajiriwa au wameajiriwa. Kujiajiri...
  8. G

    Kurudishwa payroll ya Serikali

    Mdau naona hapa umebase kwa aliyeondoka Serikalini na kurudi kwenye sekta ileile. Vipi aliyebadili sekta? Mfano uliondoka bila taarifa kama mwalimu unarudi Serikalini kama polisi.
  9. G

    Natafuta Kazi

    Hivi unaanzaje kuropoka kwa mwenzio kiasi hicho. wacha ujinga wewe. unataka JF ionekane haina maana yeyote? Ama kweli ukitaka kujua mtu ni mjinga kiasi gani chunguza mambo anayoyafanya akiwa peke yake.
  10. G

    An opportunity for you

    wapi source ili tujue qualifications mkuu?
  11. G

    List ya recruitment agencies Tanzania

    nirushie namimi mdau mkomwa.gabriel@yahoo.com
  12. G

    Kurudi JWTZ

    Bsc IT
Back
Top Bottom