toccara
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 540
- 203
Tatizo la watz wengi wanapenda kupewa mahope, nimempa facts, mim nina masters degree ya tax administation, nilimaliza cho miaka 4 iliyo pita ckupata kazi, nilishauriwa niongeze elimu, nilifiata ushauri huo. Leo mim ni lecturer ktk taasisi fulani hapa bongo, how does it sound? Nasisitiza arudi shule, unapo ongeza elimu ni kwamba unasogea kwenye daraja la wachache upo?
naelewa ila nadhani haukuwa na bahati tuu maana mimi nilivyomaliza tuu nilipata kazin kwenye shipping line kubwa tuu duniani ila ofisi zake zipo pia africa na ndiyo iliyonileta Tanzania kutoka kwetu mpaka leo hii, halafu hiyo masters ndiyo nategemea kumaliza lakini nimeshafanya kzi, ni vizuri kuumpa mtu matumaini na pia kwa watu wengi watanzania wakipata shahada ya kwanza wanaona wamemaliza, atafute kazi ili iweze kumwezesha kusoma hiyo ya pili