Mwenye kujua au anaefanya udereva wa magari kwenda nchi jirani/mpakani mfan;Tunduma maarufu kama (IT) msaada namna ya kujiunga na kazi. Mimi ni dereva ninataka kufanya kazi hiyo. Kwa sasa ni mwanfunzi chuo
Me nipo halmashauri ya wilaya masasi ni lab asstance natafuta mtu wa kubadilishana nae kati ya dar,pwan(bagamoyo),morogoro,tanga or kilimanjaro 0719512358 gbrillmsangi@gmail.com
naomba msaada hivi ukiomba ajira wizarani kwa kutumiia leseni bila cheti hauati kazi au maana me nimetuma muda ila hadi sasa naona wamepanngwa niliowaacha chuoni
Nadhani clouds wanauelewa na barua waliyopata coz barua ilimzuia dvdoo kufanya shoo tarehe 18 na sisi tunavyojua tarehe hubadilika pindi itakapofika saa sita6 usiku na davido alipanda mida kama ya saa nane so Times fm kisheria wamepigwa chini bora watulie coz dvdooo alifanya shoo trh 19
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.