Mchezaji mmoja wa Mgambo kaonyeshwa red card, Mgambo wako Pungufu. dakika ya 13 kipindi cha pili magoli bado ni bila kwa bila.
Yanga 0 na Timu pungufu 0ngapi ngapi..
Mkuu hii timu ya Mgambo Sugar inapatikana wapi? Au kwa sababu siku hizi Ndala wanaogopa neno sugar kwa hiyo ili kuwafunga ni kuongezea Sugar? siku wakikutana na Ndanda tunabadili jina inakuwa Ndanda Sugar, Mbeya City Sugar, Simba Sugar, Polisi Morogoro Sugar. Wakishituka na wenyewe watajiita Yanga Sugar.
VP matokeo Taifa?
Nasikiliza redioni, jamaa hawajaeleza mazingira yaliyosababisha hiyo kadi kutoka, kwa hiyo sijui kama ni figisu au la.Figisu zimeanza eeh?
Timu yetu Mgambo Sugar naitakia kila la heri, natumai itafanya kama ilivyofanya mwaka jana pale Mkwakwani. Makoye Matale karibu sana boi!
Munashinda gem hiyo, haki ya mama Nyangarambe.Taifa sisi bila wao bila lakini tuko pungufu...
kwa timu pungufu hakuna maajabu.msuvaaaa
leo jukwaa limepoa sana, CHELSEA 2 VS LIVERPOOL 1 F.T
Yanga 1-0 JKT Mgambo