Angalia Emmanuel Tv uone mambo makubwa ambayo mtumishi wa Mungu anayafanya. Amefanya mambo makubwa kwa wahanga wa majanga mbalimbali pia ni mtoaji kwa wahitaji(masikini) anasomesha watu wengi, amejenga shule nyingi. Kiujumla sadaka inatumika ipasavyo
Tatizo una uelewa mdogo sana. Hapo hakuna sehemu ambapo Tb Joshua anahusishwa moja kwa moja, hajasema kama hizo gharama ni za kanisa bali ni process za kufika kanisani huko nigeria. Mbona mnasema vibaya watumishi wa Mungu aliye hai?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.