BAWASIRI NI UGONJWA WA KUVIMBA SEHEMU ZA HAJA KUBWA NA NYAMA NYAMA KATIKA SEHEMU YA HAJA KUBWA.
TATIZO LA BAWASILI HUSABABISHA KUZIBA KWA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA KUJISAIDIA.
USABABISHA UPUNGUFU WA DAMU MWILINI
(ANEMIA) STRANGULATED HERMORRHODS.
KUPUNGUZA...
Bado wapo na mi ni mmoja wapo kwani unataka nini sasa unafikiri kutongoza ni kusonga ugali kusema nakupenda sio mchezo kuna demu ukimuona tu unaganda kama umepigwa shoti we acha tu kuna wanaume wengine wakikataliwa wanajiona wanamikosii
Habari sana wana jamii : nilikuwa naitaji msaada Wa kujuzwa kama inawezeka ikawepo dawa ya KUWA na kipara moja moja bila kunyoa naitaji kuwa na kipara cha bila kunyoa yani kiwe forever
Hiyo hiyo na ndevu zangu nikinyoa Leo kesho nakuta zimesha ota kibao alafu zinakuwa ndevu ngumu na kuwasha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.