Recent content by Gasper mapile

  1. Gasper mapile

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mkuu mm ninashida na statement ya till yangu nimejaribu kutembelea voda shop wameniambia niwasiliane na wakala wangu mkuu ilhali simjui nimejaribu kutafuta mawasiliano naye aliye nitengenezea till amekuwa akinichenga sijui mnanisaidiaje kwa hilo
  2. Gasper mapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu naomba ushauri kabla cjajilipua
  3. Gasper mapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hongera japo umechanika mkuu uko vzr
  4. Gasper mapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu nashida na odds 10 nitafute kodi maana vyombo nishatolewa nje
  5. Gasper mapile

    Mashindano ya Drafti kitaifa

    Hiki kipande anaanza kucheza mwenye kete zp mkuu?
  6. Gasper mapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu naomba tushauliane juu ya huo mkeka
  7. Gasper mapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pole sana mzee mpunga mrefu sana huo
  8. Gasper mapile

    Mawakala wenzangu njoeni tuzungumze kuhusu haya makato mapya

    We jamaa km hujui nyamaza tu unaongea non sense.
  9. Gasper mapile

    Napata wapi hizi racks za kuku na wanauzaje

    Mkuu ww unafuga ?upo wap ?nahitaji mayai kwa bei ya jumla
  10. Gasper mapile

    Ofa, pata vitu vifuatavyo kwa bei nafuu sana

    Mkuu hujanijibu juu ya huo muzik Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Gasper mapile

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Nahtaji mzk mnene wa mtumba Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Gasper mapile

    Ofa, pata vitu vifuatavyo kwa bei nafuu sana

    Huo mzk fanya mia 2 mzee nichukue mwez huu mwishon km bado utakuwepo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom