Hapa unatuonea tu makafiri. Hizi mada wamezianzisha ndugu zenu katika Imani tena huko Saudia.. Sisi ni mashabiki tu. Shida yenu mkikosolewa mnaona uislam unashambuliwa.
Sheikh Unajichanganya sana. Kwa hiyo tunakubaliana watu wana kosea kwenye ibada wapo au unapinga kabisa hawawezi kuwepo?
Swali la pili, alichofanya Mwijaku kiko Sawa au sio Sawa? Na usije kuuliza Mwijaku ni nani kwenye uislam. Jibu ni muislam. Tunamtaja kwa sababu ni mfano Hai wa watu...
Nimeshangaa jamaa anajifanya hajui Kuna watu wa hovyo wengi tu kama Mwijaku wanakwenda huko. Tena mpaka video karekodi halafu huyu jamaa anajifanya hajawaona wahuni wakifanya uhuni huko.
Mtoa mada Kuna tofauti kati ya IDEAL situation na REAL situation.
Pili watu wakisema ubaya usikimbilie...
Huyo ni mhanga wa kumeza propaganda. Anataja vitu kama alivyovisikia mtandaoni. Anasema Elimu Rwanda Ana elimu gani? Mshindani wa Tanzania East Africa ni Kenya tu. Hao wengine mnalishana matango pori.
Michezo wame
Michezo Rwanda katuzidi kipi? Maana simuoni anga za kimataifa sio football, sio riadha wala michezo mingineyo, au mnataja tu ili mradi. Tupe figure au walau mfano Hai basi.
Mfano. Tz kacheza afcon mara mbili... Rwanda kacheza ngapi in the past five years or ten
Tz Ina vilabu robo...
Ni kweli siri ni mhimu, lakini kwenye hili wa kuwa makini ni nduguyo. Maana Una Imani za kishirikina. Mimi nimefanya matangazo online kuna siku Unapata traffic mpaka unafurahi. Kuna siku mpaka unarudi kuangalia kama umelipia au umesahau maana watu hawaji kabisa kuuliza hata bei tu.
Mkuu Hongera sana kwa kujibu kwa ustahimilivu pamoja na kukutana na maswali mengine ya hovyo. Ni kawaida mpakani jamii kuchanganyikana. Sijui hofu hii ya kuwanyanyapaa wanyarwanda ikitoka wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.