Wakolon wameshatuathili sana,saizi tunabaguana weusi kwa weusi.
Itikadi kuu za kukwamisha zoez ili zipo tatu.
Kwanzaa' udini huyu kafir hafai,huyu gaidi hafai kuungananae,ikumbukwe b4 kuja mwarabu,na mzungu afrika hizo dini hazikuwepo.
Pili ni watawala,viongoz weng Wa afrika wamekua vibaraka Wa...
Mambo ya kifara mademu kwa kuekti,utarudi tu mm ndio mama naniiiiiii....
usipo rudi nyumbani cku moja tu,cm ofixin,cm kwa mama yang cm kwa marafk zang et mwenzenu katerekeza familia
Wanaume eehe away dawa yao ndogo tu akizidisha jeuri tu na ww muonyeshee kiburi mpaka akome.
Weusii mmmmwaaahhhah,japo nilikonako kapotabo 7bu wivu umekazidi,natafuta juu nyigu chini kontena tena piwa black, ukijichubua pita kule, km ypo umu come in time yeyote nafasi unayo.napenda weusi km mm binafsi.
Wadau hopefully mko poa
Bila kuwachosha tuende na mada miezi ya hivi karibun Voda wamekua wakipigia promo huduma yao ya m pesa kwamba wametia grisi katika miamala take katikaalipo hususani ya benk.kwamba m pesa kulipia benk hakuna makato mbona sio kweli.tunafunga mwaka promo za uongo sio poa...
Up mzigo umekua saiaz Ila mwanzo alikua MTU na heshima sake tu,na kumtongoza nilisotea ez km 6 mpaka ughaili wik,hutum at a meseji lakini unaliamusha tena ukimwita anakuja kama chakula mtakula vizuli tatizo nilikua nikiomba mzigo hanipi,kwaiyo elewa sjaletewa km unavozani Bali niliyatafuta...
Yani ukisikia ninge huja likishatokea,kipind namuoa nilijua nimepata kwel,mpole,msikivu,mwelewa,ushung 24hrs after kuoa tu sio mapichapicha hayo gubu,wivu Wa kijinga usisalimiane na Jirani ohh demu wako haijarish at a awe bibi.kinacho nisikitisha ananyota ya kupotze mwanzo mwisho,Ila ndo ivo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.