😆😆😆 Nafikili wanajitoa akili. Nimetumia miaka 2 kununua na kujenga chumba kimoja . Wakati mke nilimtongoza sku mbili baada ya miezi miwili tukaoana. KIPu kugumu hapo 🙅🤷
Naiitaji msaada wa mawazo. Et naitajika kua na vifaa gan nikitaka kufungua kiwanda kidogo cha tofali kijijini.
Na hivo vifaa navipata kwa bei gan.
Note: kama kifa unacho unaacha mawasiliano na bei. Mimi nipo Tanga, Pangani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.