Recent content by Gardener

  1. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    Akili wewe huna!wakati mwenyewe kafurahia kupata mimba,mi ndio nipo kwenye sekeseke! Usidakie posts bila kuelewa,hivi unajua jinsi baadhi wanawake walivyo washenzi.
  2. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    Yeye anaona sasa kanipata kwa hilo!siwezi kufanya abortion ila over my dead body she will regret her decision to force this damned r'tnshp!i think i hate her sana!
  3. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    sijui unaelewa!huyu binti afya alishacheki na sikuwa na shaka na hilo,condom nilitumia lakn alikuwa ana resist,ckujua mwanzo lakn alinizd ujanja coz alijua anataka nini kwangu!nlikuja kustuka baadaye nikahs tayari nimeingzwa mkenge,i was weak to fall on her trap,mambo mengne hayazungumzki lakn...
  4. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    Nashukuru sana kwa ushauri wenu,mimi ni member mzoefu hapa jf,nina id ingne mara zote ckuwa mdau wa MMU,lakini ktk hili mmenishauri vema,ntaendelea kuwapa updates kuhusu jambo hili,ujauzito una miezi 3 sasa,sijamwambia yeyote zaidi ya rafiki yangu daktari.nasubiri kupata ujasiri wa kulipua boom!
  5. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    I'm soo scared now.. That's what gona happen!
  6. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    Asante shantel ila nimejifunza sana kwa hili,kuwa lolote ufanyalo gizani,siku moja litakuwa mwangani..
  7. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    wewe ni mtu,afadhali umesema,asante kwa hilo.. Nimeshukuru kwa ushauri wenu,ntamtunza mwanangu tu no way!
  8. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    Tatizo langu sikujua akili yake inawaza nini!nashukuru kwa ushauri wenu nyote! Inabidi nikubaliane na ukweli huu mchungu,kuhusu afya yangu sina shaka nilicheki..tatizo ni huyu mtoto namuonea huruma sana,Mungu atanisaidia.
  9. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    wewe ni mtu mzuri,umezungumza vema,yaani kibaya zaidi familia yangu ni walokole,najua hapa kinachofuata ni kutengwa kanisani!najuta kutenda haya!eeh Mungu unirehemu.
  10. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    kumbe nimefanya kitendo kibaya sana!kila ananidharau.
  11. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    Jamani nisaidie ushauri,kama hujanielewa kaa kimya!
  12. G

    Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

    Wakuu maji yamenifika shingoni,mwaka jana mwshoni,nlikutana na binti mmoja,mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kikuu kimoja dodoma,baada ya siku kadhaa,nikatembea nae,lakini sikuwa na mapenzi kwake,lakini yeye alinipenda sana,akanisumbua kwa muda mrefu,nikaamua kumweleza ukweli kuwa mimi nina...
  13. G

    Mkutano wa CHADEMA Dodoma wadorora!

    Tatizo lenu pro-chadema hampendi kuambiwa ukweli,Dodoma hakuna cdm kabisa,punguzeni jazba!mkutano umeisha sasa hv!
  14. G

    Mkutano wa CHADEMA Dodoma wadorora!

    Regia mtema,wenje,na John Mnyika!wamehutubia tayari..
  15. G

    Mkutano wa CHADEMA Dodoma wadorora!

    Mimi c kwamba nafurahia watu kutokuja hapa,la hasha nilikuwa natoa taarifa,kwa sasa watu wameongezeka kiasi!
Back
Top Bottom