Habari zenu wana JF. Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo toka mwaka jana.
Nilipoenda hospital wakasema vipo katika utumbo.
Kuna dawa nilizigharamia kwa sababu niliambiwa nitapona.
Nilipokunywa hizo dawa vikatulia kwa miezi 3 sasa vimeanza tena.
Msaada wako wako muhimu nitumie dawa gani vipone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.