Hata mimi pia nina muda sijajihusisha na mapenzi sababu sina hela, majukumu yamekuwa mengi mpk kutenga hela kwa ajili ya kungonoka imekuwa mtihani 😃, kweli kua uyaone na si maghorofa
Endelea kuchakata mbususu Mkuu huo ndo umri wenyewe huo, nakushauri usiwahi kuoa na kumbuka kucheza salama wkt wote,hakikisha pia unafanya maendeleo, Maisha Matamu=Kazi+Maendeleo+Bata, hutojutia.
Kama hutojali Mkuu unaangukia kundi gani katika makundi ya umri yafuatayo:-
10-15
15-20
20-25
25-35
35-45
45-55
Kuanzia hapo sasa tunaweza kukushauri vizuri
Ninachoamini duniani hatuzaliwa kwa ajili ya kupambania pesa na maisha ya vitu vya kushika,ni sawa, ila viwe kwa kiasi, kwa maana ya survival na kuongeza mwendo tu kufikia malengo ya kuishi, ninachoamini mimi kama biniadamu sisi kama waja tumezaliwa kwa ajili ya kuweka kumbukumbu iliyoleta...
Mmetusababisha tupoteze timing nyingi sana za kutafuta hela kwa sababu ya ule upuuzi mliofanya this time hatutasubiri polisi waje tutaanza kunyooshana sisi kwa sisi kwanza, acheni hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.