Recent content by GANJIBHAAI

  1. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda HIV alarm: Lifeguard cuts condom price to Shs700

    Mbona huyo mwamba kwenye picha nafanana nae sana au ni mimi nini na hamniambii 😃
  2. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Nimeanza kusex tena baada ya muda mrefu kujizuia

    Hata mimi pia nina muda sijajihusisha na mapenzi sababu sina hela, majukumu yamekuwa mengi mpk kutenga hela kwa ajili ya kungonoka imekuwa mtihani 😃, kweli kua uyaone na si maghorofa
  3. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Kwa nini nyama choma nyingi bongo ni ngumu sana?

    Vipi kuhusiana na mapishi ya YouTube?!, 😂 😂
  4. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Kwa nini nyama choma nyingi bongo ni ngumu sana?

    Tena usijaribu kuchoma mwenyewe nyumbani kama huna utaalamu, utaharibu sherehe yako 😃😂
  5. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Napambana na uraibu wa kutamani wanawake

    Endelea kuchakata mbususu Mkuu huo ndo umri wenyewe huo, nakushauri usiwahi kuoa na kumbuka kucheza salama wkt wote,hakikisha pia unafanya maendeleo, Maisha Matamu=Kazi+Maendeleo+Bata, hutojutia.
  6. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Napambana na uraibu wa kutamani wanawake

    Kama hutojali Mkuu unaangukia kundi gani katika makundi ya umri yafuatayo:- 10-15 15-20 20-25 25-35 35-45 45-55 Kuanzia hapo sasa tunaweza kukushauri vizuri
  7. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Napambana na uraibu wa kutamani wanawake

    Kaka jitahidi kuwala muda huu kabla nguvu za kiume hazijakukimbia, tamani, omba, ila usifosi 😃
  8. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Napambana na uraibu wa kutamani wanawake

    Sheikh sasa unataka utamani nini tena?😃, tumeumbiwa sisi hao 😂
  9. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Hivi Jamii Forums haiwezi kutengeneza Bidhaa (merchandise) zake zikaitwa jina moja tu Jamii

    Hapatahitaji copy rights kweli Mkuu?😃
  10. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Hivi Jamii Forums haiwezi kutengeneza Bidhaa (merchandise) zake zikaitwa jina moja tu Jamii

    Nimetest hii AI yangu ya kichovu wamba njooni mtie nyama 😃
  11. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Ninachoamini duniani hatuzaliwa kwa ajili ya kupambania pesa na maisha ya vitu vya kushika,ni sawa, ila viwe kwa kiasi, kwa maana ya survival na kuongeza mwendo tu kufikia malengo ya kuishi, ninachoamini mimi kama biniadamu sisi kama waja tumezaliwa kwa ajili ya kuweka kumbukumbu iliyoleta...
  12. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Gen Z watangaza maandamano makubwa 29/10/2026

    Ndo mawazo yako yalipoishia
  13. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Gen Z watangaza maandamano makubwa 29/10/2026

    Mmetusababisha tupoteze timing nyingi sana za kutafuta hela kwa sababu ya ule upuuzi mliofanya this time hatutasubiri polisi waje tutaanza kunyooshana sisi kwa sisi kwanza, acheni hiyo.
  14. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Lala pema Peponi John Pombe Magufuli Leo wamefungua mradi ulioanzisha bila kukutaja kama Icon wa mradi huo.

    Moderator uzi kama huu mnatikiwa kuushusha haraka sana maana mleta mada anaupotosha umma.
Back
Top Bottom