I stand with you ukiingia mpakani katika maswali utakayotakiwa kujibu mojawapo ni purpose ya kuingia Tanzania BV= Business Visitor, TR=Return Resident…. masomoni, utaliii na nk milishawahi kuomba hizo data uhamiaji na nikapewa za entry zote.
Kwa mfano mimi mwanzoni nilikuwa nataka kuoa mtoto mmoja mkali sana,(pisi). Mwenye test moja na mimi ya muziki (R&B) we sing along tunacheki wote game za NBA😂, mavazi, kwa kifupi unyamwezi, ududu mwingi sana🤣, sio kwamba sikuwahi kuwapata, ila baadae nilipangua vigezo vyote nikaweka vipya...
Labda tujiulize hili swali kwanza, mwanaume peke yake na mwanamke peke yake, kitu gani kilimsukuma kuingia kwenye ndoa? Na hata hao ambao bado hawajaingia kwenye ndoa, nini kinawasukuma kutaka kuingia huku, Motives.
Baada ya kusoma comments za wana nimejikuta humu,
kesho nafikiria kuangalia movie yake - Above the Rim, PAIN is one of my Fav mziki huu unanikumbushs maisha ya yangu ya makuzi, pia nilikuwa napiga sana kikapu shoutout to wana wote pale MTC kwa Sasa MUST (Mbeya) Day, Don Bosco-Mafinga, Ifunda...
Ndio njoo unibwagie moyo nikupende nikutunze na nikuenzi pia, watoto wakike wanahitaji kustirika, Sisi wanaume ndo wenye jukumu hilo tulilopewa na Mwenyazi Mungu. Karibu mrembo nikustiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.