Recent content by GANJIBHAAI

  1. GANJIBHAAI

    USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Japokuwa mimi sio injinia nisijivike fani ambayo sio yangu 😀
  2. GANJIBHAAI

    USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Kwa mainjinia sio shida hili jengo inabidi upige chini partition zote uanze upya kutokana na matumizi ya jengo kwa wkt huo husika
  3. GANJIBHAAI

    USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Mkuu mimi naangalia mbali baada ya SGR kufika Congo Kigoma na Mwanza, demand irakuwa kubwa tena ya uhakika + Soko la Kariakoo
  4. GANJIBHAAI

    USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Sawa kaka, wakati wa refrushment hilo pia lingeangaliwa hakuna kinachoshindikana when it comes to Engineering.
  5. GANJIBHAAI

    USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Mh. Kafulila alichukue na kulijumuisha kwenye miradi yake ya PPP hapo vipi?
  6. GANJIBHAAI

    USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Nimejaribu kudig hawa ndo waliolijenga jengo hili toka chini kabisa M. A. Kharafi & Sons
  7. GANJIBHAAI

    USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Kutotumia na kuchakaa sio shida tuongelee structure wise
  8. GANJIBHAAI

    USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Kbs Mkubwa pia ni wazo zuri, Dar es Salaam ni mji wa kibiashara Port+SGR+Airport+Kariakoo+City Center inatosha.
Back
Top Bottom