Recent content by GANJIBHAAI

  1. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Joshua Nassari: Wizara inasema Watalii wamefikia Milioni 5.3, Mtu anakuja kununua vitunguu kutoka Kenya, naye anaambiwa ni mtalii

    I stand with you ukiingia mpakani katika maswali utakayotakiwa kujibu mojawapo ni purpose ya kuingia Tanzania BV= Business Visitor, TR=Return Resident…. masomoni, utaliii na nk milishawahi kuomba hizo data uhamiaji na nikapewa za entry zote.
  2. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Huyu mtoto ni mkale sana kama ndo yeye kweli anastahili likes nyingi sana na aruhusiwe kufunga PM yake, niko tayari kumsponsor 😀😃😇😂😂😂
  3. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Wadada wa JamiiForums naomba mpokee maua yenu

    Sema kuna mijidume ina-act KE na fake IDs, pia na nyie mnajitahidi 😂😂😂
  4. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Wadada wa JamiiForums naomba mpokee maua yenu

    Wadada wa Jamii Forums mpo, Hi 👋🏾😀
  5. GANJIBHAAI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Wengi Waliokuwa Watumishi Wakistaafu Wanakufa Mapema Kwa sababu Wanakutana na Ghasia za Mke ambazo alizokwepa akiwa kazini

    Kwa mfano mimi mwanzoni nilikuwa nataka kuoa mtoto mmoja mkali sana,(pisi). Mwenye test moja na mimi ya muziki (R&B) we sing along tunacheki wote game za NBA😂, mavazi, kwa kifupi unyamwezi, ududu mwingi sana🤣, sio kwamba sikuwahi kuwapata, ila baadae nilipangua vigezo vyote nikaweka vipya...
  6. GANJIBHAAI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Wengi Waliokuwa Watumishi Wakistaafu Wanakufa Mapema Kwa sababu Wanakutana na Ghasia za Mke ambazo alizokwepa akiwa kazini

    Labda tujiulize hili swali kwanza, mwanaume peke yake na mwanamke peke yake, kitu gani kilimsukuma kuingia kwenye ndoa? Na hata hao ambao bado hawajaingia kwenye ndoa, nini kinawasukuma kutaka kuingia huku, Motives.
  7. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Leo nilipata time ya kuskilizia Ngoma za Tupac Shakur...one by one aise huyu jamaa alikua machine.

    Do for Love ndo mziki wangu wa kujaribia uwezo wa device yoyote duniani kwa mara ya kwanza 🎧
  8. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Leo nilipata time ya kuskilizia Ngoma za Tupac Shakur...one by one aise huyu jamaa alikua machine.

    Baada ya kusoma comments za wana nimejikuta humu, kesho nafikiria kuangalia movie yake - Above the Rim, PAIN is one of my Fav mziki huu unanikumbushs maisha ya yangu ya makuzi, pia nilikuwa napiga sana kikapu shoutout to wana wote pale MTC kwa Sasa MUST (Mbeya) Day, Don Bosco-Mafinga, Ifunda...
  9. GANJIBHAAI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wapare maumbo na sura wamejaaliwa ila tabia sasa, inafikirisha

    Eoka tha kirundu avae😁
  10. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ukubwa wa Mdomo/Vidole huakisi vitu vingi mwilini mwa binadamu

    Kwani nyuzi zina copy rights Mkuu sasa Mod anaziunganisha nyuzi hizi moja unapotea 😂
  11. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Kuna tija gani kuingiza mchepuko wa BRT phase 3 airport?

    Kinachofuata mtataka magari ya mwendokasi yawafuate mpk nyumbani sasa
  12. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Akamatwa kwa kujenga mahandaki sita bila kibali Mwanza

    Wampe tu samaki samaki 😀
  13. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Kuna tija gani kuingiza mchepuko wa BRT phase 3 airport?

    Unajua vizuri biashara ya ndege ama unapayuka tu
  14. GANJIBHAAI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

    Ndio njoo unibwagie moyo nikupende nikutunze na nikuenzi pia, watoto wakike wanahitaji kustirika, Sisi wanaume ndo wenye jukumu hilo tulilopewa na Mwenyazi Mungu. Karibu mrembo nikustiri.
  15. GANJIBHAAI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

    Uko tayari kuolewa boss?
Back
Top Bottom