Kabisa Mkuu kuna wanawake hawana harufu hata nukta wakiongezea na manukato, skin care iko pahala pake mtoto anang’aa namna hii kama kioo soft, toka mnatoka kwenye mtoko kuelekea geto mtoto kakuganda makumbato na mabusu yakutosha hakuachii, mtoto mzuri halafu ananukia uturi wa bei uko all over...
Miaka mingi tu jela aisee kwa Tanzania ni kinyume kabisa cha sheria, cha kushangaza ukute sheria yenyewe tumetohoa. kutoka kwenye mataifa hayo hayo, Wazungu wangese sana 😂 wanatugeuza geuza wanavyotaka.
Naomba niongeze swali hapo hapo, hawa hawa waliokataza matumizi ya bangi mbona leo ndo hao hao wako mstari wa mbele tena kuhalalisha imagine majimbo 24 nje ya hamsini ya nchi ya Marekani yamehalalisha matumizi ya bangi kwa ajili ya kujistarehesha 😂😂😂😂
I stand with you ukiingia mpakani katika maswali utakayotakiwa kujibu mojawapo ni purpose ya kuingia Tanzania BV= Business Visitor, TR=Return Resident…. masomoni, utaliii na nk milishawahi kuomba hizo data uhamiaji na nikapewa za entry zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.